Kiwanja kimepimwa na hati miliki ipo. Kwa maelezo zaidi piga simu na ikiwezekana ukaione.Weka picha mkuu tuione nyumba yenyewe. Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki?
Kiwanja kimepimwa na hati miliki ipo. Kwa maelezo zaidi piga simu na ikiwezekana ukaione.
Ndugu Narumba, Thibitisha kuwa unakubaliana na masharti haya hapo juu kabla hatujaanza kuwasiliana nawe.Tusiogope, process za kununua nyumba ziko very clear. Kama kweli unahitaji la nyumba mpigie simu mkubaliane mkaione.
Wakati wa kununua, pitia ardhi kuthibitisha uwepo wa hipo kiwanja na uhalisi wa hati, baada ya hapo nendeni mahakamani au kwa advocate yeyote muandikishane hapo, kila mtu na mashahidi wake, then ulipe kwa kupitia bank, clearly uki-indicate kwamba hizo hela ni kwa manunuzi ya nyumba Plot No... Iliyopo...
Kwahyo kama unashida na nyumba, mtafute muhusika mfanye biashara!
mbuzi ndani ya gunia, weka picha hapa mkuu!