- Thread starter
- #21
Sina hasira tatizo ni kureveal my identity. The moment I put the picture hapa my identity will be out there. Bado nahitaji kuhide identity yangu kuweza kutoa maoni yangu kuhusu mustakabali wa taifa letu. That is my only problem broMkuu mbn una hasira sana? Biashara haitaki hasira hata kidogo hao unaowaona sio serious buyers ndio buyers wenyewe mtu anayetaka kununua kitu kwako lazima akuchallange nimeshawahi kuuza gari yangu aina ya prado humu humu jf walikuwa wananiita mimi ni dalali but at the end of the day yule niliyemuuzia alikubali ile gari ilikuwa ni yangu baada ya kumkabidhi kadi ya gari yenye jina langu,sasa wewe
unakuwa mkali huku unataka hao hao wanunue hiyo
nyumba yako, mkuu biashara huwa haiendi hivyo coz hapa
jf watu wana maudhi balaa lakini ndio wanunuzi
hao!