Mrbwire
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 200
- 51
Nyumba inauzwa maeneo ya ituha (Mbeya Mjini). Si umbali mrefu kutoka inapoishia rami.(Unaingulia Sae). Ina vyumba vitatu vya kulala (kimoja kati ya hivyo ni self), Ina sitting room, dinning room, kitchen na public toilet. Ina talies. Ceiling board imewekwa sebuleni.
Ina umeme na maji yapo jirani. Bei 25M HAIPUNGUI. (Haina na haihitaji dalali)
Serious buyers piga 0715 55 55 85.
NB: (Sihitaji usumbufu, namba hiyo ni kwa ajili ya mnunuzi tuu.)
Ina umeme na maji yapo jirani. Bei 25M HAIPUNGUI. (Haina na haihitaji dalali)
Serious buyers piga 0715 55 55 85.
NB: (Sihitaji usumbufu, namba hiyo ni kwa ajili ya mnunuzi tuu.)