Z zamadamu Member Mar 23, 2011 10 1 Jun 14, 2012 #1 ipo mtaa wa mlandege sokoni kwa mawasiliano ya bei piga 0655 088055
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,350 Jun 14, 2012 #2 DUh utasikia milioni mia nne hahahahahahah
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Jun 14, 2012 #4 Mwagito ngoja nijipange nije nifungue kilabu cha ulasi.
kisungu JF-Expert Member Feb 20, 2013 788 264 Dec 5, 2013 #5 unauza nyumba anaweka namber afu hazipatikani..utabaki na nyumba mwisho utafugia kuku
Mad Max JF-Expert Member Oct 21, 2010 19,055 49,697 Dec 5, 2013 #6 Chimunguru said: DUh utasikia milioni mia nne hahahahahahah Click to expand... umesababisha jamaa kataja bei wakati alitaka ukipiga simu ndio ataje.:frusty:
Chimunguru said: DUh utasikia milioni mia nne hahahahahahah Click to expand... umesababisha jamaa kataja bei wakati alitaka ukipiga simu ndio ataje.:frusty:
kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 Dec 5, 2013 #7 zamadamu said: sio inauzwa milioni 70 tu Click to expand... Tupe sifa zake mkuu kama ukubwa wa kiwanja nk....
zamadamu said: sio inauzwa milioni 70 tu Click to expand... Tupe sifa zake mkuu kama ukubwa wa kiwanja nk....