Mbona unatuchanganya ni vyumba 2 au nyumba 2,pia hiyo Tip Top ya Mabibo ni sehemu gani au ndio ile ya Manzese na je rent yake kwa mwezi ni Tsh ngapi na je malipo yake ni kwa kila mwezi au miezi 3,au 6 au 12(kwa mkupuo mmoja)fafanua tafadhalinyumba 2 vya kulala
sebule
choo na jiko la ndani
ipo mabibo kanuni nyuma ya tip top
kuuliza piga 0768178989
ewah hayo ndio manenoboss ni vyumba viwili sebule jiko na choo viko ndani, kwa maana unajitegemea kwenye upande wako,
hiyo nyumba ina pande mbili upande mwingine una mpangaji,
ipo mabibo kanuni ukipita kanisa la assemblies kama unaelekea manzese mtaa unaofuta (unaweza shukia kituo cha chama au tip top), bei (laki moja na elfu hamsini 150000tsh) kwa mwezi, malipo kwa miezi 6
wasiliana na mwenye nyumba no. 0768178989
ahsante