N nghoni Member Nov 29, 2013 11 2 Mar 28, 2014 #1 Jamani nyumba hiyo unapangishwa ipo kiwalani ina vyumba 3 vya kulala,sitting room,jiko na choo ndani. Kodi ni 200000 kwa mwezi. Attachments 1396029079166.jpg 62.9 KB · Views: 450
Jamani nyumba hiyo unapangishwa ipo kiwalani ina vyumba 3 vya kulala,sitting room,jiko na choo ndani. Kodi ni 200000 kwa mwezi.
Nyanya mbichi JF-Expert Member Nov 10, 2011 3,716 2,207 Mar 28, 2014 #4 barabara ipi ya kijiwe samli au minazi mirefu au bombom au ccm au km kwenda nyerere road
N nghoni Member Nov 29, 2013 11 2 Mar 28, 2014 Thread starter #5 Kwenye kona km unaenda kijiwe samli pale kwenye tank na wanauza mbao kuna kona hapo ni nyumba ya sita kushoto.
Kwenye kona km unaenda kijiwe samli pale kwenye tank na wanauza mbao kuna kona hapo ni nyumba ya sita kushoto.
N nghoni Member Nov 29, 2013 11 2 Mar 29, 2014 Thread starter #7 Haina parking ila ina uzio kwa nyuma.
Replies JF-Expert Member Feb 1, 2014 1,497 452 Mar 30, 2014 #9 Wale watoto wa Mbwa Hamna uko kwako; ANGALIZO
Ushirombo JF-Expert Member Jan 22, 2013 3,557 2,692 Mar 30, 2014 #10 nghoni said: Ni dakika 5 toka barabarani. Click to expand... Dakika 5 kwa speed gani? We vp bana
KISHINDO JF-Expert Member Jun 23, 2013 2,113 1,798 Mar 30, 2014 #12 nghoni said: Jamani nyumba hiyo unapangishwa ipo kiwalani ina vyumba 3 vya kulala,sitting room,jiko na choo ndani. Kodi ni 200000 kwa mwezi. Click to expand... Kwani kuinunua ni sh.ngapi??????????
nghoni said: Jamani nyumba hiyo unapangishwa ipo kiwalani ina vyumba 3 vya kulala,sitting room,jiko na choo ndani. Kodi ni 200000 kwa mwezi. Click to expand... Kwani kuinunua ni sh.ngapi??????????
N nghoni Member Nov 29, 2013 11 2 Apr 3, 2014 Thread starter #13 Malipo ni mwaka bt u can negociate.. Na haiuzwi