Nyumba ya kisasa inapangishwa maeneo ya tegeta masaiti, nyumba ina master1 kubwa, vyumba3, sebule kubwa, dining, jiko la kisasa, public toilet, fensi, tiles, garden, maji na umeme vipo bie yake ni tshs.400,000 kwa mwezi kwa mhitaji wasiliana na mudy 0714107215
Kweli kinachoamua bei ya nyumba ni location sio uzuri wa nyumba, yaan na mbwembwe zote bei lak 4 tu wakati hiyo nyumba ingekuwa sinza, kinondon ada estate au chang'ombe bei ingekuwa balaaa zito
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.