deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 931
- 503
Habari zenu wakuu, nina nyumba napangisha ipo mkoani iringa, mahali panaitwa kihesa semtema, inavyumba vinne, self containe, car parking na uzio wenye nafasi yakutosha.. Bei tsh 150,000 kwa mwezi, malipo miezi sita.. Mwenye uhitaji anaweza kunipm.