Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,868
- 2,178
Gari huna
Nyumba huna
Mke huna
Iphone huna
Halafu upo above 30
Wewe kuna jina la kukuita sio bure
Nyumba huna
Mke huna
Iphone huna
Halafu upo above 30
Wewe kuna jina la kukuita sio bure
Namshanga huyo limbukeni 🤣🤣🤣iphone ni kitu cha kuwa nacho?
-Mim sina gariGari huna
Nyumba huna
Mke huna
Iphone huna
Halafu upo above 30
Wewe kuna jina la kukuita sio bure
Kuwa na mademu kadhaa tayari nawe una kundi lako maalumu la wasiojitambua-Mim sina gari
-Najitambua
-Nina mademu kadhaa wa kubanjua
-Namiliki simu ya s9
-Nina tujipesa twangu twa maendeleo
-Nina kiwanja
Nina miaka 32
Jina langu ni nani?
Hiyo ni hadithi tuNa usisahau ajikwezae hushushwa.
Sema Huna ndugu yangu usitoe povuNamshanga huyo limbukeni
WabadilikeKwa nini mnajali sana maisha ya watu wengine?
Kalagabaho wa aina hiyo huona kuwa na magari used mabovumabovu, tena ya kawaida sana!... kuwa na simu used from Dubai, S.A na China na kukaa kwenye apartment bubu au kuwa na kanyumba ka vyumba vitatu mpiji na malamba mawili ndo wamemaliza... walio chini NYOKO!Kama kungekuwa na mahali wanabadilisha ubongo wa wanadamu, Waafrika wangekuwa ndio wateja wakubwa huko....
Barani kwetu tuna idadi kubwa ya watu wenye ubongo wenye almost 0 IQ
Duuh Huna na akili PoleHuna akili kabisa!