PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Facebook wall ya heche.
" Mimi binafsi nilijua wazi juu ya hilo,kwani hata alipokamatwa na kura na kupelekwa polisi buguruni.Rais kikwete ndio aliyempigia simu mkuu wa polisi kwamba amwachie mara moja.Kama ilishakuwa hivyo nani anaweza kuwa juu ya rais,hata mahakama zinamuangalia rais kabla ya kutoa maamuzi yake.Pia niwape taarifa za ndani,imetolewa amri kutoka kwa mweshiwa kwenda kwa mahakimu wote wanaosimamia kesi zote zinazopiga matokeo ya ccm nchini kote kuhakikisha ccm inashinda kesi hizo.Yule hakimu aliyeipa ushindi chadema kwenye ile kesi sumbawanga,amerudishwa makao makuu na atapangiwa kazi nyingine kwa kukaidi agizo hilo.HII NI SAFARI,HUWEZI KUZUIA WATU WASISAFIRI KWA KUWA NI LAZIMA WATU WATASAFIRI.TUSONGE MBELE.PEOPLES,POWER."
kutoka kwa mwana jf mwenzetu
" Mimi binafsi nilijua wazi juu ya hilo,kwani hata alipokamatwa na kura na kupelekwa polisi buguruni.Rais kikwete ndio aliyempigia simu mkuu wa polisi kwamba amwachie mara moja.Kama ilishakuwa hivyo nani anaweza kuwa juu ya rais,hata mahakama zinamuangalia rais kabla ya kutoa maamuzi yake.Pia niwape taarifa za ndani,imetolewa amri kutoka kwa mweshiwa kwenda kwa mahakimu wote wanaosimamia kesi zote zinazopiga matokeo ya ccm nchini kote kuhakikisha ccm inashinda kesi hizo.Yule hakimu aliyeipa ushindi chadema kwenye ile kesi sumbawanga,amerudishwa makao makuu na atapangiwa kazi nyingine kwa kukaidi agizo hilo.HII NI SAFARI,HUWEZI KUZUIA WATU WASISAFIRI KWA KUWA NI LAZIMA WATU WATASAFIRI.TUSONGE MBELE.PEOPLES,POWER."
kutoka kwa mwana jf mwenzetu