Mfwalamanyambi
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 433
- 102
ingetokea gari imkanyage
labda lori lenye mizigo tena kuanzia tani 5 na kuandelea, chini ya hapo anadondosha gari huyu.
ingetokea gari imkanyage
Kama unaendesha Pikipiki au Baiskeli unakutana na nyoka mkubwa kama huyu itabidi usimamae apite ndipo na wewe upite kwa usalama wako.Kama wewe unaendesha pikipiki na unakutana na huyu nyoka ghafla, unafanya nini!
Ulitaka niandike maneno ya uongo kwenye habari ya huyu nyoka? basi nilikuwa ninakwenda mjini iringa nimekutana nae Mikumi ndio nikaamuwa kumpiga picha huyo nyoka mkuu unasemaje sasa umefurahi na habari yangu?habari bila picha?
Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu Katavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.
Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu Katavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.
Aaaah Sisi ndivyo tulivyo apigwa jiwe njiwa asiye sumu wala meno sembuse Jinyoka! ndio tumeupatia tena hapo.Kakosa nini hata akanyagwe na gari?
duu ..... Hakuna njia mbadala/nyingine ya kuweza kukabiliana nae ? Maana hii ya kujitwika chungu cha moto inahitaji uwe na ujasiri wa ziada.......je akigonga hicho chungu hakipasuki ? Nini madhara kwa mbebaji wa hicho chungu ???
We nawe na mwili wote huo kwenye avatar unaogopa hiko ki nyoka!?Mm, mie ningezimia ninge muona live.. Naogopa nyoka hata awe mduchu...
We nawe na mwili wote huo kwenye avatar unaogopa hiko ki nyoka!?
Hata yule mwenye jicho moja pia wamwogopa?
Ha ha pole