rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 13,167
- 16,424
basi nyie vyura mtakua ndo chanzo maana mnawaita sana everywhere na nyie vyura nyoka zaidi maana huwa hambakwii
Sawa mkuu karibu konyagi
basi nyie vyura mtakua ndo chanzo maana mnawaita sana everywhere na nyie vyura nyoka zaidi maana huwa hambakwii
asante Mkuu Mimi napata Grants hapa Kivulini Chan'gombeSawa mkuu karibu konyagi
Mkuu Kaveli... nimehakikisha wee ni born towni..... unastahili tuzo !!!
napenda mikasa yako !!
Ama kweli wew ni mlimbwende wa shoka. huyo mbabe 'unamshusha mikono' peke ako? au upo na kampani?
Haya ebu mix na 'zanzi' kadhaa ili kibanda kiwake moto vizuri. lol
ukute apo umelalaaaa unatuzuga unapga nyagii. We Rubiii weweNipo na kampani ya kutosha. karibu!
Haha,sawa ngoja nikuwahi huko chumbani unipe muongozo..hahaha mkuu hapa sebuleni wadukuzi wengi. unapajua pa kunipata ili nikupe huo 'muongozo' wa kunifanyia utomaso.
Lisemwalo lipo hakuna kusingiziwa hasa hasa ukijaribu kuunganisha matukio mbali mbali yaliyowai kutokea duniani
mimi naweza sema....
"Wanaume wote wamezaliwa na Usaliti! "
"Bora umsaidie nyoka aliyejeruhiwa kuliko kiumbe mwanaume"
The great Kaveli !!Elimu ya mtaa imetufunza mengi sana. Tushafunga ndoa na uswazi, ni mabondeni ila hatuhami ata kwa greda. hahahaa
Karibu sana mkuu. Pamoja sana kiongozi
inaonekana una uchungu mkali moyoni mwako. Nini kilikupata??Lisemwalo lipo hakuna kusingiziwa hasa hasa ukijaribu kuunganisha matukio mbali mbali yaliyowai kutokea duniani
mimi naweza sema....
"Wanaume wote wamezaliwa na Usaliti! "
"Bora umsaidie nyoka aliyejeruhiwa kuliko kiumbe mwanaume"