Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 156
Inasikitisha kuona badala ya kuandika na kuzitangaza timu changa zinazofanya vizuri katika Premier Vodacom.
Mfano jana KAGERA SUGAR ilicheza na VILLA SQUARD lakini vyombo vya habari havikuipa mechi hiyo uzito wowote badala yake muda mwingi ilikuwa ni mahojiano ya wapambe wa the so called big 4. Kumbuka KAGERA SUGAR inaongoza ligi ikiwa imecheza mechi 4, imeshinda mechi zote, imeshafunga goli 7 na haijafungwa hata goli moja.
Imezifunga Polisi Moro, Mtibwa, Toto na Villa Squard.
Hivi ni kweli hapo kuwa usawa wowote?
Naomba uwiano wa habari uwepo, habari sio kuuza tu!!!!
Mfano jana KAGERA SUGAR ilicheza na VILLA SQUARD lakini vyombo vya habari havikuipa mechi hiyo uzito wowote badala yake muda mwingi ilikuwa ni mahojiano ya wapambe wa the so called big 4. Kumbuka KAGERA SUGAR inaongoza ligi ikiwa imecheza mechi 4, imeshinda mechi zote, imeshafunga goli 7 na haijafungwa hata goli moja.
Imezifunga Polisi Moro, Mtibwa, Toto na Villa Squard.
Hivi ni kweli hapo kuwa usawa wowote?
Naomba uwiano wa habari uwepo, habari sio kuuza tu!!!!