NYERERE na Tanzania ya Leo.

Bambo

JF-Expert Member
May 18, 2009
238
50
Nimetafakari kwa makini maendeleo yetu kisiasa,mijadala yetu hapa jamvini na mwelekeo wa siasa ya nchi yetu nimegundua kuwa wanasiasa wetu wa leo wengi wanalazimisha kuwa mahali wanapofikiri wapo kisiasa!!!
Hebu tuwatafakari wale waliokimbiza jeneza la mwalimu toka uwanja wa ndege hadi msasani kupitia kona zote za msafara huo na leo afe nani kati ya wanasiasa tulionao kuna watakao thubutu kulikimbiza jeneza lake kwa umbali huo???
 
Labda kuhakiki kama kweli ametangulia!!!!!!!!!!!!!!:biggrin:
 
Back
Top Bottom