Bambo
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 238
- 50
Nimetafakari kwa makini maendeleo yetu kisiasa,mijadala yetu hapa jamvini na mwelekeo wa siasa ya nchi yetu nimegundua kuwa wanasiasa wetu wa leo wengi wanalazimisha kuwa mahali wanapofikiri wapo kisiasa!!!
Hebu tuwatafakari wale waliokimbiza jeneza la mwalimu toka uwanja wa ndege hadi msasani kupitia kona zote za msafara huo na leo afe nani kati ya wanasiasa tulionao kuna watakao thubutu kulikimbiza jeneza lake kwa umbali huo???
Hebu tuwatafakari wale waliokimbiza jeneza la mwalimu toka uwanja wa ndege hadi msasani kupitia kona zote za msafara huo na leo afe nani kati ya wanasiasa tulionao kuna watakao thubutu kulikimbiza jeneza lake kwa umbali huo???