Mengi yalifanyika kipindi cha Nyerere ambayo leo ndio tunaona matunda yake. Wapo wanaosema enzi za Nyerere ufisadi haukuwepo lakini tujiulize wameandaliwa na nani? Utaona wengi wao walizaliwa na kukuzwa na yeye ndo maana hila alizofanya kwa waswahili wa Mafia kubandua lami uwanja wa ndege na kuahidi kujenga nyingine mpaka leo, Mtwara ameng'oa reli akajengea ya Tanga, Kigoma Tabora ni hivyo hakuna kiwanda cha tumbaku na badala yake kipo Morogoro. Hili la gesi wananchi wanakumbuka yasiwakute ya mababu na mabibi zao au yawenzao wa kilwa. Athai ya kuwadharau ni hujuma ktk mradi