Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Nchi ina watu milioni 45 lakini cha ajabu kila kukicha kuna kampeni za kutaka kutufanya sisi tuamini kuwa bila mtu mmoja kuwa bila yeye tungekuwa hatujiwezi kabisa
mbaya zaidi watu waliosoma na kuelimika nao wameingia kwenye huu mkumbo wa kusahau kuwa kama taifa tunayo mihimili 3 tatu
ambayo haihitaji kuongopeana kuwa bila nyerere tungekuwa kwenye balaa etc
Hivi kweli kwenye karne hii ya 21 watu wamesoma na akili zao hawataki wenye mawazo mbadala hjuu ya huyu mtu yasemwe
inasikitisha sana
kama hamuamini kichwa cha habari cha hii thread kitabadilishwa sasa hivi ili kukidhi mawazo mgando ya baadhi ya watu
mbaya zaidi watu waliosoma na kuelimika nao wameingia kwenye huu mkumbo wa kusahau kuwa kama taifa tunayo mihimili 3 tatu
ambayo haihitaji kuongopeana kuwa bila nyerere tungekuwa kwenye balaa etc
Hivi kweli kwenye karne hii ya 21 watu wamesoma na akili zao hawataki wenye mawazo mbadala hjuu ya huyu mtu yasemwe
inasikitisha sana
kama hamuamini kichwa cha habari cha hii thread kitabadilishwa sasa hivi ili kukidhi mawazo mgando ya baadhi ya watu