Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
At least then nikisema "this is some bullshyt shylocking with exorbitant rates" katika post hawatashangaa shangaa.
Nashangaa mtu anashangaa neno "charade" kwamba ni kiingereza kigumu.Mimi napenda haya maneno kwa sababu yanaleta shorcuts katika kuandika, trust me kama ikibidi kutumia plain language posts zitakuwa hazisomeki kwa urefu.
Tatizo umeshaambiwa unaongea vocabulary doesnt mean you can speak!....hahahaah! kuandika is easy kuongea ni really hard....usipandwe na bichwa sana na kuona kuwa unaambiw akuwa unaandika vocabulary basi ukadhani watu wako so dumb!....ni vitu vidogo sana hivi Bluray you know...ila be simple na utaeleweka maneno makubwa ya nini?unataka ku-prove kitu gani?
Just for the record!....saa nyingine huwa hueleweke hata unaongea ninina hizo vocabulary zako maana una-add vocabulary kwenye sehemu ambazo hata hazihitajiki sijui hata kama saa nyingine huwa unaelewa unaandika nini au unakuwa umeingia kwenye dictionary unaona vocabualry na wewe ukaamua tuu ku-apply kwenye sentensi ingawaje hai-make sense!....