Nyerere fit to be a saint - Museveni

At least then nikisema "this is some bullshyt shylocking with exorbitant rates" katika post hawatashangaa shangaa.

Nashangaa mtu anashangaa neno "charade" kwamba ni kiingereza kigumu.Mimi napenda haya maneno kwa sababu yanaleta shorcuts katika kuandika, trust me kama ikibidi kutumia plain language posts zitakuwa hazisomeki kwa urefu.


Tatizo umeshaambiwa unaongea vocabulary doesnt mean you can speak!....hahahaah! kuandika is easy kuongea ni really hard....usipandwe na bichwa sana na kuona kuwa unaambiw akuwa unaandika vocabulary basi ukadhani watu wako so dumb!....ni vitu vidogo sana hivi Bluray you know...ila be simple na utaeleweka maneno makubwa ya nini?unataka ku-prove kitu gani?

Just for the record!....saa nyingine huwa hueleweke hata unaongea ninina hizo vocabulary zako maana una-add vocabulary kwenye sehemu ambazo hata hazihitajiki sijui hata kama saa nyingine huwa unaelewa unaandika nini au unakuwa umeingia kwenye dictionary unaona vocabualry na wewe ukaamua tuu ku-apply kwenye sentensi ingawaje hai-make sense!....
 
Tatizo umeshaambiwa unaongea vocabulary doesnt mean you can speak!....hahahaah! kuandika is easy kuongea ni really hard....usipandwe na bichwa sana na kuona kuwa unaambiw akuwa unaandika vocabulary basi ukadhani watu wako so dumb!....ni vitu vidogo sana hivi Bluray you know...ila be simple na utaeleweka maneno makubwa ya nini?unataka ku-prove kitu gani?

I do not need your approval.First of all your post, with all its accusations and stand for simplicity and advocacy for clarity, is incoherent. Huwezi kusema "unaongea vocabulary" halafu ukaendelea kusema "doesn't mean you can speak".Hivi kuongea vocabulary sio ku "speak" au wewe champion of clarity na simplicity unashinwa kujieleza hata katika plain freefall yako?

Just for the record!....saa nyingine huwa hueleweke hata unaongea ninina hizo vocabulary zako maana una-add vocabulary kwenye sehemu ambazo hata hazihitajiki sijui hata kama saa nyingine huwa unaelewa unaandika nini au unakuwa umeingia kwenye dictionary unaona vocabualry na wewe ukaamua tuu ku-apply kwenye sentensi ingawaje hai-make sense!....

Nimesema time and time again, kama huelewi skip, hujalazimishwa.Kama mimi nisivyokulazimisha kuongea coherently -although I have a better case- pia usinilazimishe kuandika unavyotaka wewe, what is so hard about that?

Kama unataka kuanza kukosoana, wewe unikosoe ninavyoandika na mimi nianza kukosoa unavyoboronga sema, I can do that with pleasure.

Otherwise ukiona "Bluray" just skip.
 
Hebu acha kushabikia vivuli...mimi naongea na Bluray kama umekosa mada then kaa kimya na uendelee kusoma.....


Ndiyo Bluray nasoma magazeti!.....na your point is?.....


Nataka kujua unasoma gazeti gani linalokufanya uone maneno kama "charade" kuwa msamiati.
 
Nataka kujua unasoma gazeti gani linalokufanya uone maneno kama "charade" kuwa msamiati.


Mbona umekazana sana na hili neno charade?...Ni umeliona leo nini?....Charade ni title of a movie....na ni neno linalitumia kufanya watu/mtu wa-guess words...sasa wewe unataka kucheza mchezo wa guessing?......

Nasoma magazeti ya aina nyingi sana Kijana Bluray!....wee wala usikonde sana......Au unataka kunipa darasa la 101?.....
 
Mbona umekazana sana na hili neno charade?...Ni umeliona leo nini?....Charade ni title of a movie....na ni neno linalitumia kufanya watu/mtu wa-guess words...sasa wewe unataka kucheza mchezo wa guessing?......

Nasoma magazeti ya aina nyingi sana Kijana Bluray!....wee wala usikonde sana......Au unataka kunipa darasa la 101?.....

Kuna mtu kalisema hapo juu kwamba ni vocabulary ngumu, sasa kama hiyo ni vocabulary ngumu tukitaka kusema kuhusu zeitgeist ya schadenfreude kwa familia ya Makamba bila ya kufikiri tunatumia vocab tutafikiriwaje?

kuhusu magazeti naona una majibu kama ya Sarah Palin, no wonder!
 
Kuna mtu kalisema hapo juu kwamba ni vocabulary ngumu, sasa kama hiyo ni vocabulary ngumu tukitaka kusema kuhusu zeitgeist ya schadenfreude kwa familia ya Makamba bila ya kufikiri tunatumia vocab tutafikiriwaje?

kuhusu magazeti naona una majibu kama ya Sarah Palin, no wonder!


Hahahahah!.....yaani mimi umeniona sijui South Africa ipo wapi?....naona umenitusi Bluray yaani mimi na sarah Palin?.....ooh well kisa sijakujibu ni magazeti gani nasoma ndiyo kunibandika kilemba cha ukoka?....

Oh me i thought ni ww ndiyo unakazania na hilo neno charade!.....oh welll could be vocab for other people!....tell him to whatch a movie title yake ni charade ilitoka 1993....
 
Museveni kasahau kusema kuw our saint to be Nyerere alikuwa mstaari wa mbele kuunga mkoni kuvunjika kwa shrikisho la Nigeria, pale aliposhabikia na kuunga mkono kujitenga kwa jimbo la Biafra katika vita vya wenyewe kwa wenye.
"mwenye heri" wakati huo huo alishabikia umoja wa Afrika na wakati huo huo alishabikia kuvunjika umoja wa taifa la Nigeria.

Junius,

Si ndio maana ma papa huko Roma wakaipiga chini application ya Nyerere.

Kwanza Museveni is last person you want to plead your case for sainthood. Li-gorila lifer linapenda damu na mivita anatetea watakatifu? Mwombeni Mandela awa plidie hiyo kesi kama ana muda.

Sisi kwa muono wetu tumepeleka maombi Nyerere awe mtakatifu lakini wakuu Roma wana viwango vyao, wana ma candidate kibaaaao katika historia, wakiona Nyerere wanao what? Huyu mbona cha mtoto anatutania eeeh?

Nyerere alikuwa ana Preventive Detention Ordinance aliyoachiwa na wakoloni, ilisababisha torture na mauaji kibao. Namjua mzee mmoja aliugulia Oysterbay Police weeeee, kafungiwa kwenye chumba hakina hewa miaka, alipotoka tu akakaa kidogo akafa na madhara ya kifua.

Mama Maria na kina Madaraka, hivi kweli mnaweza kutetea kitendo cha Nyerere kumpigisha gwaride waziri Hanga kutoka viwanja vya Mnazi Mmoja mpaka Taifa na pingu huku anazomewa, halafu unam ship kwenda Zanzibar kuuwawa kwenye jela ya Ba Mkwe? Na ulishaambiwa kabisa na kina Kambona, Mzee, ukimpeleka Hanga (na balozi Shareef pia) nyumbani watauawa. Daaaaah!

Ndio maana ma papa wamempiga chini. Media ya Bongo ilikuwa inaficha, kumbe ma kadinari walisham piga chini:

The campaign to bestow sainthood on Nyerere began on January 26, 2006 when the Vatican accepted a request from the Bishop of Musoma in northern Tanzania to canonise the late leader. The Vatican then granted him the title of ‘Servant of God.’
 
wakiambiwa wanaudinilization wanabisha?


sasa viongozi wa siasa jinsi walivyo na maskendo halaf awe saint si wizi huoo...


Kwanza inasemekana nyerere ndio alimua karume na sokoine.
 
Hili swala la mtu ana tumia lugha gani na vipi tiliache kama lilivyo sasa imekua too much. Kama mtu anaandika kitu huelewi omba explanation au move on. kama mtu unaandika vitu wata hawata elewa again your own lost that your message won't be conveyed. Au kama watu mumeliona ni big deal ianzishieni thread tofauti.Lets just get back to the discussion at hand which is the issue of a man being given sainthood by other men.
 
If you haven't dictated terms in your life time, you are dormant if not dead. Otherwise, we sometimes have to become dictators to have our dreams realised...
si katika nafasi ambayo unawaongoza watu wenye shida chungu nzima na matumaini fulani ya maisha, udikteta ni dhambi.
 
Angalia huyu naye anatetea uzembe, yupo katika cocoon la kukumbatia ujinga kwa kutumia kisingizio cha "siyo lugha ya taifa".

Hata hajui kama kiingereza ni lugha rasmi Tanzania masikini! Halafu huyu atakuja kuomba kazi downtown Dare-es-salaam kwenye ofisi cosmopolitan, probably zinazodeal na watu wa kimataifa ambao hawajui Kiswahili, akinyimwa kazi akapewa Mkenya anayejua Kiingereza vizuri sijui tutalalamika?

Ally Hassan Mwinyi, Mwinyi wa pwani, gwiji wa Kiswahili, rais mstaafu na walii kwa watu waliomfuatilia alielewa umuhimu wa Kiingereza licha ya kuwa muumini wa Kiswahili. Alisema "Kiingereza ni Kiswahili cha dunia" akimaanisha kwamba kadiri Kiswahili kilivyo muhimu kwa kuwaunganisha watu wengi kama sio wote wa Tanzania, Kiingereza kina umuhimu huo huo kwa kuwaunganisha watu wengi wa dunia.

Kuna watu wanakuja katika forum hii hawajui Kiswahili, na wanafurahi sana wanapoona kuna Watanzania wanaandika kiingereza standard, hicho mnachokisema kwamba ni kigumu kutokana na kuzoea standards zilizo so low they barely exist!

Sasa wewe unasoma Alasiri utasikia wapi neno kama "charade" linatumika kila siku, nenda soma New York Times na Wshington Post, utaona mineno ya kuisema, siyo "charade"

Kama tunataka kuendelea inabidi tujue kuchukua challenges, tusitake kukaa tu kwenye comfort zone.

Kama hupendi ninavyoandika usisome, kuna watu kibao wana uwezo mzuri tu, wengine kunipita mimi, wanaweza kufurahia metaphors, similes, vocabulary na vionjo vingine vya lugha. Kukataza mimi kutumia vionjo hivi ni sawa na uwe umeenda kwenye sherehe watu wanakula vyakula vya kila aina, vingine viko plain, vingine vina spices, sasa kwa sababu wewe hupendi spices unataka hivi vyenye spices vitolewe vibaki vile plain tu, kwa sababu wewe hupendi.Hatuiendi hivyo, mimi nina haki ya kujieleza ninavyopenda na kama huwezi kunifuatilia achana nami, wengine watafurahia, kama hupendi cahakula chenye spices kuna wenyewe watakula.

Kung'ang'ania watu waandike kama unavyotaka wewe kunaonyesha mgando wa mawazo.For all I care one could wriet in ancient latin in here, as long as it's OK with them and some communication is taking place.

Stop the dumbing down of this supposed "Home of Great Thinkers"

Great thinkers wanaogopa vocab?

1. Wewe nani kakwambia mimi ntakuja kugombania kazi Dar na watu kama wewe...hahaha. Unatoa judgement ya mtu bila kujua chochote juu yake. Wacha kunifurahisha, inaonyesha to use ur terminology 'mgando' wa mawazo yako.

2. Mimi sijakukataza kutumia kiingereza chako, by all means, please yourself. Mimi nimekupa suggestion ya ku-improve communication skills zako. Unapotumia visababu vyako eti kama "home of great thinkers", inaonyesha ni jinsi gani usivyoelewa maana yake. Great thinkers dont need great words. Great thinkers communicate ideas. Katika posts zako nilizohangaika kusoma, sijaona uki-express idea yoyote ambayo inahitaji misamiati unayotumia. You are basically saying the samething the other members have said in simple terms.

3. Misamiati hutumiwa in relation to the discussion. Your random usage shows that you do not comprehend the time nor the place for their application.

4. Kama ningetaka kupata challenge ya kujua kiingereza kigumu, nisingekuja hapa. There is a lot of literature material i can read for that.

But anyway, just to iterate my point, Mimi sijali kama unaweza kutumia extensive vocabulary, but the point is 'are you communicating?" Mbona unakuwa mgumu kuelewa hilo?
 
1. Wewe nani kakwambia mimi ntakuja kugombania kazi Dar na watu kama wewe...hahaha. Unatoa judgement ya mtu bila kujua chochote juu yake. Wacha kunifurahisha, inaonyesha to use ur terminology 'mgando' wa mawazo yako.

Inaonekana huelewi the whole idea ya hypothetics, unaonyesha kujifungia katika cocoon ya anti-English, anti-vocabulary na anti-intellectualism, hardly the way to grow in a cosmopolitan environment.

2. Mimi sijakukataza kutumia kiingereza chako, by all means, please yourself. Mimi nimekupa suggestion ya ku-improve communication skills zako.
Wewe una qualifications gani za kunipa suggestion mimi? Sina haja na suggestions zako za ku dumb down my style.Kila mtu ana signature style yake hapa, kwa nini unataka kuondoa individual pattern yangu?

Unapotumia visababu vyako eti kama "home of great thinkers", inaonyesha ni jinsi gani usivyoelewa maana yake. Great thinkers dont need great words.
Na wewe unaonyesha selective criticism, ingawa ni kweli great thinkers hawahitaji great words, ni kweli pia great words haziondoi status ya great thinkers, katika history ya dunia kuna great thinkers wengi tu walikuwa eloquent and full of inspiring vocab, hilo hulisemi.

Great thinkers communicate ideas. Katika posts zako nilizohangaika kusoma, sijaona uki-express idea yoyote ambayo inahitaji misamiati unayotumia. You are basically saying the samething the other members have said in simple terms.
What if I only want to communicate to people who can understand my language and shut out the rest? What do you have to say to that?

3. Misamiati hutumiwa in relation to the discussion. Your random usage shows that you do not comprehend the time nor the place for their application.
Misamiati ni nini? Maneno yote ya lugha ni msamiati wa lugha hiyo, unataka kuni lecture kuhusu msamiati wakati hata definition ya msamiati huijui?

4. Kama ningetaka kupata challenge ya kujua kiingereza kigumu, nisingekuja hapa. There is a lot of literature material i can read for that.

So why do you bother to read my posts, if you don't like my style skip.Kuna tofauti ya kiingereza kama challenge kinachoandikwa na mtanzania na kile kinachoandikwa na wenyewe, hao wenyewe hatuwezi hata kujilinganisha nao kwa sababu wamezaliwa nacho, hapa tunakutana watanzania wote tumejifunza, therefore hakuna mtu atakayekuja na excuse kwamba wengine wana kiingereza kigumu kwa advantage ya kuzaliwa nacho, wote tumejifunza.Kwa hiyo kama unatafuta level field, your point becomes invalid.

But anyway, just to iterate my point, Mimi sijali kama unaweza kutumia extensive vocabulary, but the point is 'are you communicating?" Mbona unakuwa mgumu kuelewa hilo?
Extensive vocabulary to you may not be extensive vocabulary to me and even not communicating is communicating not communicating, sasa kama mimi ninataka ku communicate non communication wewe kinachokuuma ni nini?

Let me worry about whether I am communicating or not, you are not my father.If you don't like my style skip it.I don't like the way a lot of people write, and I skip.
 
Inaonekana huelewi the whole idea ya hypothetics, unaonyesha kujifungia katika cocoon ya anti-English, anti-vocabulary na anti-intellectualism, hardly the way to grow in a cosmopolitan environment.

hahaha...nice try in turning it around mate! R claiming u were just making an innocent hypothetics as opposed to judging me?...hahahahaha. Wacha ufala.

Wewe una qualifications gani za kunipa suggestion mimi? Sina haja na suggestions zako za ku dumb down my style.Kila mtu ana signature style yake hapa, kwa nini unataka kuondoa individual pattern yangu?
I never intended to dumb down ur style. I just find it funny and its usage frankly quite ridiculous.

Na wewe unaonyesha selective criticism, ingawa ni kweli great thinkers hawahitaji great words, ni kweli pia great words haziondoi status ya great thinkers, katika history ya dunia kuna great thinkers wengi tu walikuwa eloquent and full of inspiring vocab, hilo hulisemi.
so? Didn't i make my point? Isn't it ringing in ur head now?

What if I only want to communicate to people who can understand my language and shut out the rest? What do you have to say to that?
u have a limited outreach....and lack the skills to widen it!

Misamiati ni nini? Maneno yote ya lugha ni msamiati wa lugha hiyo, unataka kuni lecture kuhusu msamiati wakati hata definition ya msamiati huijui?
hahaha...this is so low, i wont even discuss it....i think u COMPLETELY missed my point and are now using the word misamiati out of context.

So why do you bother to read my posts, if you don't like my style skip.Kuna tofauti ya kiingereza kama challenge kinachoandikwa na mtanzania na kile kinachoandikwa na wenyewe, hao wenyewe hatuwezi hata kujilinganisha nao kwa sababu wamezaliwa nacho, hapa tunakutana watanzania wote tumejifunza, therefore hakuna mtu atakayekuja na excuse kwamba wengine wana kiingereza kigumu kwa advantage ya kuzaliwa nacho, wote tumejifunza.Kwa hiyo kama unatafuta level field, your point becomes invalid.
duh!another dumb paragraph. hakuna mtu anayezaliwa na lugha. hata katika kiswahili, sio kila mtu anaweza kuji-express kwa lugha kifasaha. It's an art which u learn. Kwa hiyo usidhani waingereza wote wanajua 'extensive' misamiati katika lugha yao.
Okay, let me tell u one thing. The reason people find ur writting so annoying is because u r using normal swahili plus non common used english vocabulary. Get it? That is just plain stupid. If u r going to write in an eloquent manner, use it fluently not in a dispersed manner. I know people find swaenglish annoying at times, but ur style is just damn right stupid. Sorry, but thats how i feel and i imagine, its how others feel too.

Extensive vocabulary to you may not be extensive vocabulary to me and even not communicating is communicating not communicating, sasa kama mimi ninataka ku communicate non communication wewe kinachokuuma ni nini?

Let me worry about whether I am communicating or not, you are not my father.If you don't like my style skip it.I don't like the way a lot of people write, and I skip.
I think u shld re-look at the highlighted red sentence, ohh excuse me, 'phrase'.Maybe ukipunguza hasira utaweza ku-communicate ur thoughts better.
Although non-communication can still be communicating,as long as the recepient receives the message....but I dont think that applies when u r typing in forum. It is clear when u type, u r trying to communicate with others, au wewe unakuja hapa kuandika andika tu?....hehehehe.

P.S: Am not dumbing ur style...on the contrary, keep up the vocub, if it makes u feel better. I can not tell u how to write in a self pleasing manner!
 
misa ya mchakato wa kumtangaza nyerere kuwa mtakatifu yafanyika uganda


Rais Yoweri Museveni, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa na Janet Museveni wakati wa misa ya kumuombea Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa mtakatifu jana katika kanisa la Kikatoliki Namugongo, Uganda.

Watanzania waliohudhuria misa ya mchakato wa kumtangaza Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa mtakatifu katika kanisa la Kikatoliki Namugongo, Uganda.


Rais Museveni akisalimiana na Father Nkwera baada ya misa ya mchakato wa kumtangaza Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa mtakatifu katika kanisa la kikatoliki Namugongo, Uganda.






KABLA YA YOTE TUANGALIE HISTORIA YA HAWA JAMAAA WANAOTAKA KUPACHIKANA UTAKATIFU NA KUJIPA VYEO AMBAVYO BINADAMU HAWEZI KUJITABIRI KUWA YEYE NI MTAKATIFU ...WANA MAZAMBI KIBAO.
 
About the President

ABOUT YOWERI MUSEVEN
Yoweri Kaguta Museveni was born in 1944 in the then sub-county of Ntungamo in the county of Rwampara in western Uganda. His father was Amos Kaguta and his mother was Esteeri Kokundeka. He was named Museveni after the ‘Abaseveni,’ Ugandan servicemen in the 7th Battalion of the king’s African Rifle during the Second World War. He was born in a peasant-pastoral background where most of the children did not go to school because the peasants were nomads. Additionally, the nomads were oppressed by land policies such as the ranching schemes that displaced them from their traditional lands. Such policies were instituted by the British colonists and supported by local collaborator chiefs as well as neo-colonial independence politicians.

Museveni attended Kyamate Primary School, Mbarara High School and Ntare Senior Secondary School in Western Uganda, before proceeding to the University of Dar es Salaam, where he read political science and economics, graduating in 1970 with a Bachelor of Arts degree. He started being politically active while a student at Ntare School where he had teamed up with a group of other young men who together were later to play an important role in the politics of the country.

Because of his background and his early determination to fight against political and social injustice, Museveni, in 1966, led a largely successful struggle to convince the peasants in north Ankole to fence their land and refuse to vacate it if evicted. During the three years he spent at the University of Dar es Salaam, from 1967 to 1970, his political awareness became more focused and he gained more active politically experience, especially through his close association with Southern African freedom fighters such as Samora Machel, to say nothing of Julius Nyerere who became a close political associate until his death in 2000.

In 1967, students from Kenya, Zambia, Malawi, Zimbabwe, Ethiopia, Sudan, and Uganda at the University of Dar es Salaam formed the University Students African Revolutionary Force (USARF) and Museveni was elected chairman for the whole time he was at the University. USARF identified closely with African liberation movements, especially FRELIMO (Frente de Libertaçäo de Moçambique) in Mozambique, and members of USARF later became politically active both in Uganda and elsewhere in Africa.

In 1971, after Idi Amin’s coup, Museveni was instrumental in the formation of FRONASA (the Front for National Salvation) comprising Ugandan exile groups that, together with the Tanzanian People’s Defence Forces, ousted Idi Amin in 1979. Following Amin’s ignominious exit, Museveni served as Minister of Defence, Minister of Regional Co-operation and Vice Chairman of the Military Council. After the rigged elections of December 1980, Museveni went to the bush and, together with 26 other patriots, organized the National Resistance Army (NRA), the armed wing of the National Resistance Movement (NRM), which waged a five-year protracted people’s struggle against the Obote regime’s tyranny in Uganda. The Movement based itself on organizational discipline, an anti-sectarian ideology and was massively supported by the peasants. The huge support from the peasants stemmed from the fact that the Movement synthesized their hopes and aspirations and offered a ray of hope out of the agony inflicted on the population for more than a decade. A close alliance between the peasants and elements of the intelligentsia was formed during the years of the struggle and has helped to shape the Movement into an authentic mass movement able to address the problems of the people of Uganda.

With its main camps based just 20 miles from the capital, Kampala, the NRA was able to carry out a successful armed struggle without external support, the only guerilla force to accomplish this in Africa, culminating in victory in January 1986. Its ragtag army of motivated courageous young fighters captured the imagination of Ugandans and arrived in Kampala to a thunderous heroes’ welcome.

Since assuming the presidency in January 1986, Yoweri Museveni has provided one of the most clear-headed leaderships in Africa and has been hailed as one of the few beacons of hope for Africa. He rejects this characterization and insists that the lack of focused and clear-headed leadership in Africa has been a result, not of any inherent African trait, but of foreign meddling and ideological disorientation superimposed on an underdeveloped society. He sees leadership as an endless sacrifice, not a privilege as is often thought; and says that “managing an underdeveloped country like Uganda imposes onerous burdens on those whose lot it is to provide honest leadership…; they must work with inexperienced staff whose values, based on a primitive economic base and an omnipresent peasant culture, are not noted for their loftiness; they must work with inadequate funds and equipment; there is the ever-present danger of external interference and manipulation; and there are the unprincipled divisions caused by an incomplete process of social metamorphosis.” He expresses strong optimism that a new order is emerging in Africa comprising African patriots who are assuming leadership and who are working for African interests, not other people’s interests. These new forces, he is convinced, will steadily move Africa towards political and economic integration and eventual social transformation.

Under Yoweri Museveni’s leadership, Uganda has carried out bold economic and political reforms that have launched the country on an irreversible path of modernization. His early and courageous stand on AIDS has won him international recognition as the leading crusader against the scourge and galvanized the anti-AIDS campaign in Uganda resulting in a dramatic fall in the rate of HIV infection in the country.

Over the years, he has become a respected international statesman whose opinion on African and international matters is keenly sought and often relied on. A man of strong convictions, he has played a pivotal role in the search for peace in conflict areas in Africa and most especially in the Great Lakes Region. Under his able and visionary chairmanship, the regional initiative on peace in Burundi was able to help the belligerent forces in Burundi work out an arrangement that is paving the way for lasting peace in that country. He has been indefatigable in looking for a solution to the conflict in the Democratic Republic of Congo and stands out as a lone figure in speaking out against the human injustice meted out on the Black people of Southern Sudan by racial bigotry.

Yoweri Kaguta Museveni is a proponent of a fair World trade system, which he sees as the solution to the lopsided global economy. He is involved in a campaign to convince the rich countries of the North to end protectionism and agricultural subsidies to their farmers and wants to see all the farmers of the world producing in a truly competitive world trade environment that he says is the only way to put an end to global poverty and economic enslavement.

Yoweri Kaguta Museveni is married to Janet Kataaha Museveni. They have a son, Muhoozi and three daughters, Natasha, Patience and Diana; as well as grandsons and granddaughters.



HAYA JAMA KWAZI KWENU UFAFANUZI....UTAKATIFU UKO WAPI HAPA..!

SEMA UKWELI HATA KAMA UTACHUKIWA...

VIBARAKA HAWA WA NYERERE.
 
Maajabu hayaishi duniani!!!!!!!!! Yaani Nyerere kufanywa saint wa wakatoliki watu inawauma!? inaonyesha watu wengi wanaupenda sana ukatoliki kiasi kwamba hawataki uharibiwe kwa kumfanya JK Nyerere mtakatifu!
Mbona wao wakatoliki wametulia? jamani tusiguse imani za watu please tuziheshimu. Au la mtu akiwa na mapenzi sana na ukatoliki akabatizwe huko ndio aanze upinzani huo hukohuko!
 
misa ya mchakato wa kumtangaza nyerere kuwa mtakatifu yafanyika uganda

rais yoweri museveni, rais mstaafu benjamin mkapa na janet museveni wakati wa misa ya kumuombea baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere kuwa mtakatifu jana katika kanisa la kikatoliki namugongo, uganda.
watanzania waliohudhuria misa ya mchakato wa kumtangaza baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere kuwa mtakatifu katika kanisa la kikatoliki namugongo, uganda.

rais museveni akisalimiana na father nkwera baada ya misa ya mchakato wa kumtangaza baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere kuwa mtakatifu katika kanisa la kikatoliki namugongo, uganda.






kabla ya yote tuangalie historia ya hawa jamaaa wanaotaka kupachikana utakatifu na kujipa vyeo ambavyo binadamu hawezi kujitabiri kuwa yeye ni mtakatifu ...wanamazambi kibao.




Mungu ndio anajua nani ni mtakatifu ...hii dini inamaajabu ...na hawa katoliki ndio wanadai yesu huwa anawafuata na kuwapa upaulo na kutunga bibilia mpya.....uliza katoliki wanatumia bible gani...? Lol


kwanza kabisa anayetaka kuitwa mwenye heri ajashiriki katika shughuli hiyo na binadamu mtakalo ona sawa kwa mungu limepita kwa sababu mungu alituumba kwa mfano wake kwa kujua mema na mabaya.

Kama watu wanaona nyerere anafaa kuwa mwenye heri (hawajasema mtakatifu) waache wamwone hivyo na wewe toa sababu za kutomwona mwenye heri.

Kuwa mtakatifu sio lazima uwe unaenda kanisani mara kwa mara. Inategemea unaidumia vipi jamii inayokuzunguka ata kama kanisa au msikiti hujui unafananaje!
 
BENJAMIN William Mkapa

mkapa%201.jpg
BENJAMIN William Mkapa was born on November 12th, 1938 at Masasi, Mtwara Region. Between 1945 and 1951 he attended primary school at Lupaso and Ndanda Schools where he attained a Standard Eight School Certificate.

He completed his 'O' Level education at Ndanda Secondary School in 1955 and proceeded to Saint Francis College (now Pugu Secondary School; where the late former President of Tanzania Mwalimu Julius K. Nyerere was a teacher) for his Advanced Level Secondary Education.

In 1959, Mr. Mkapa joined Makerere University College in Uganda and obtained Preliminary Arts (1959) and Bachelor of Arts Degree (Hons) in English (1962).

He worked as a district administrative officer in Dodoma and Dar es Salaam for one year before joining the foreign service in 1963.

Having joined the ruling party, the Tanganyika African National Union (TANU), Mr. Mkapa was appointed managing editor of the party's newspaper in May 1966. In July 1974 he was promoted to press secretary for President Julius K. Nyerere and was subsequently appointed Director of SHIHATA, the first Tanzanian news agency, in 1976.

President Mkapa's long diplomatic career included a number of high postings, such as High Commissioner to Nigeria (in 1976) and Minister for Foreign Affairs (from 1977 to 1980).

He became Minister for Information and Culture in 1980-82; and again Minister for Information and Broadcasting in 1990-92.

In 1982, he served as High Commissioner to Canada and between 1983 and 1984 as Ambassador to the United States of America. He returned home in 1984 where he was again appointed as Member of Parliament and Minister for Foreign Affairs. In 1992, he served as Minister for Science, Technology and Higher Education, prior to being nominated for President in 1995, and Chairman of his Party, Chama Cha Mapinduzi, in 1996.

In October 1995 he garnered 62 percent of the vote in Tanzania's first multiparty elections and began his term as President in November 1995. President Mkapa was re-elected with overwhelming mandate in 2000 and is now serving his last term in office.

Throughout his political career, President Mkapa has worked inexhaustibly to strengthen democracy, entrench civil rights and fight poverty, while increasing the country's exposure to international trade and investment. He is active in conflict prevention, management and resolution in the Great Lakes Region and is an active player in regional economic co-operation within the East African Community, and the Southern African Development Community (SADC). He is currently the Chairman of SADC.

President Mkapa is also the Co-Chairperson of the World Commission on the Social Dimension of Globalisation. He is co-chairing with President Tarja Kaarina Halonen of Finland.

President Mkapa holds two honorary doctorate degrees from Soka University in Japan (1998) and Morehouse College, Atlanta, USA (1999). His main hobby is reading. He is married to the former Anna Joseph Maro, and they have two sons


Former Presidents


MKIAMBIWA HAWA NI VIBARAKA WA NYERERE MWABISHA HAYA HIO.
 
Back
Top Bottom