Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,243
- 42,147
Jifunze jambo moja!!!!
Ukiwa hai imarisha sana familia yako na kuijengea misingi imara ya kusimamia mambo yao bila kushirikisha watu wa mbali na vikundi shirikishi!!!!
Rafiki zako ni rafiki zako wewe once haupo hawana dhamana ya kusimamia uliyoyaacha kama mlikutana.bar ili mnywe na wewe ushakufa na huwezi kunywa you are good for nothing!!!!!Mke au mume ndio mpango mzima ukitoka hapo ni wadogo au wakubwa zako na spouse kwa umoja,hao marafiki ni kama wataamua kushiriki hawafungwi popote!!!!!
Hivi umefiwa wewe wanakuja marafiki wa marehemu ndugu yako na kukuambia tunaomba sijui tupeleke mwili sabasaba sijui heshima.imefanyaje na unakubali????!!!!!! THIS SIGNIFIES NOTHING BUT A WEAK FAMILY!!!!!!!
TUKIWA HAI TUJENGE FAMILIA ZETU JAMANI
Hakika umeongea kila kitu.