nipo dar ,nita kupm namba
unapatikana je?
aina gani?? kwako wapi?? nipo iringa ntaipataje??
tupatie part namba please?
mkuu weka na specification zake ili mtu aijue au hujui elimu ya matangazo ya biashara nini na picha pia ni muhimu..
Aina ya tiger na powerfull watts 850, uwezo wa kusukuma maji, nakuwasha umeme mahali popote uendako
Tiger? Teh, teh,teheee..,Jamii forum kuna mambo.....hiyo mkuu inatengenezwa na watoto wa darasa la nne wa China kwenye mitihani yao ya Kazi za Mikono,si unakumbuka hapa kwetu huwa tunachonga mwiko na kupata maksi 90, kwa hao wachina mtoto anapewa maksi 30 kwa kutengeneza generator ya Tiger!
Aina ya tiger na powerfull watts 850, uwezo wa kusukuma maji, nakuwasha umeme mahali popote uendako