..Nguli, how old are u'?Hili neno lilivuma sana enzi za utoto wetu tukawa tunatania watu shuleni hivi kwa nini serikali ililipiga marufuku? nakumbuka kuna wimbo ulikuwa unaimbwa wanawake wazuriwazuri wameolewa. Mpaka sasa sisikii hata likitajwa.
...Najaribu kuangalia ni kipindi gani hilo neno la nungayembe na sio nungaembe kama ulivyoweka wewe lilipotoholewa na baadaye kuimbwa na na wale vijana wa Ngoni Group its hardly ni miaka 7 au 8 iliyopita. Sasa unaposema mlikuwa mnalitumia kutaniana shuleni sijui shule ipi hiyo? Maana for a grown up person na mwenye hekima zake si rahisi sana kumtania demu kuwa ni nungayembe unless uko darasa la 3 people can understand!!Kwanini unaulizia umri wangu?
...Najaribu kuangalia ni kipindi gani hilo neno la nungayembe na sio nungaembe kama ulivyoweka wewe lilipotoholewa na baadaye kuimbwa na na wale vijana wa Ngoni Group its hardly ni miaka 7 au 8 iliyopita. Sasa unaposema mlikuwa mnalitumia kutaniana shuleni sijui shule ipi hiyo? Maana for a grown up person na mwenye hekima zake si rahisi sana kumtania demu kuwa ni nungayembe unless uko darasa la 3 people can understand!!
..Mkuu Avatar yake iko juu sana! Nimecheka vibaya mno.......Yah its true hili neno nahisi lina miaka kama sikosei 5 au 6
Shemeji naona umeniokoa.
Hivi definition ya shule inasemaje?labda kiswahili sifahamu.
Mtu aliuliza swali kwenye somo la luga mwl akamwambia hilo neno halitakiwi basi tangu siku hio tukawa tunamwita hivyo kama ilivyo kawaida kwa wanafunzi.
...na ndiko ambako unaweza kumuita demu nungayembe au ukamuandikia barua ya I lavu yuu unachora na mkuki unatoboa moyo....Kuna shule nyingine unaweza kufanya hayo??Kwa wengine shule ni darasa la kwanza mpaka la saba A.
...na ndiko ambako unaweza kumuita demu nungayembe au ukamuandikia barua ya I lavu yuu unachora na mkuki unatoboa moyo....Kuna shule nyingine unaweza kufanya hayo??
...Nungayembe mkuu....Sasa ni nini aina ya baiskeli za watoto???Nani kamwita demu nungaembe?
"ur mind is like parachute it works better when its open"