Nukuu ya Dkt. Bashiru: "Madalali wa mali za Umma hawawezi kupendezwa na kuhojiwa"

leo amejitokeza, alishahamisha zile pesa kwenye akaunti zake? Au wababe wamemnyang'anya?


Maana nyeti nilizonazo aliulizwa "uta face the music au utatupa tuzirudishe zinapostahiki"?, naona mpaka sauti kama kweli leo imetoka, ni maji ya shingo.

Nahisi kamalizana nao "kistaarabu". Pesa ni mchezo? Tanzania wahuni wengi.

Hela gani? Kama ameiba si apelekwe mahakamani? Vinginevyo ni umbea Kama umbea mwingine.
Hakuna nyeti yoyote hapo zaidi ya fitna zetu za kutaka kutawala kwa hila na janja. Ni kama hili la bandari na kusingizia eti dini fulani ndio inapinga mkataba.
Dr. Bashiru na wenzake wanawaaibisha watu hao wenye kutumia dini Kama ndio sababu
 
Back
Top Bottom