Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Hivi mtanzania anapokwenda ng'ambo kusomea nuclear physics kwenye miaka ya sitni au ya sabini wakati sisi hatuna uwezo wa kutumia utaalamu wake.................................hivi kweli huyo msomi ni kiongozi wa kutumainiwa????????????????????
Hivi mtanzania anapokwenda ng'ambo kusomea nuclear physics kwenye miaka ya sitni au ya sabini wakati sisi hatuna uwezo wa kutumia utaalamu wake.................................hivi kweli huyo msomi ni kiongozi wa kutumainiwa????????????????????
Ama kweli, ikiwa wa Tanzania tunafikra na kuhoji maswali kama yako ndio maana tupo hapa tulipo. Kwa nini kusomea Nuclear Physics iwe haina faida? Au wewe unafikiri nuclear physics hutumika kwenye kutengeneza mabomu tu?
Kama fikra zako ni hizo, basi umekosea tena sana. Nuclear Physician ana manufaa makubwa katika nchi na huweza kutumika ama kufundisha wengine ili muwe na wataalam wengi wa kutosha kwa maendeleo. Kumbuka, nchi haiwezi hata kupewa ruhusa ya kuwekeza katika nuclear energy (umeme) kama haina wataalam wake wenyewe.
Kuna kitu inaitwa "nuclear medicine" sijui kama umeisikia? Kama ndio, unahitaji wataalam, jee kama hauna wasomi utakuwa na uwezo wa kuwekeza huko? Namjuwa mTanzania mwingine bingwa wa nuclear medicine anaitwa Dr. Mohamed Tuli, na Mwingine Bin Daar, wote watoto wa Kariakoo (kwenye vibaraghashia) na tunawahitaji sana.
Leo Tanzania tuna uranium, bila kuwa na hawa watu japo kutushauri tu namna ya kuiuza na "grading" si tutapakwa vumbi la macho tu?
Elimu haina mwisho na hata kama hauitumii hapa, ukiajiriwa tu nje na kutuma vijisenti nyumbani unakuwa umeisaidia sana nchi yako.
Nuclear Physician ndo nani? au unamaanisha Nuclear Physicist!
Ama kweli, ikiwa wa Tanzania tunafikra na kuhoji maswali kama yako ndio maana tupo hapa tulipo. Kwa nini kusomea Nuclear Physics iwe haina faida? Au wewe unafikiri nuclear physics hutumika kwenye kutengeneza mabomu tu?
Kama fikra zako ni hizo, basi umekosea tena sana. Nuclear Physician ana manufaa makubwa katika nchi na huweza kutumika ama kufundisha wengine ili muwe na wataalam wengi wa kutosha kwa maendeleo. Kumbuka, nchi haiwezi hata kupewa ruhusa ya kuwekeza katika nuclear energy (umeme) kama haina wataalam wake wenyewe.
Kuna kitu inaitwa "nuclear medicine" sijui kama umeisikia? Kama ndio, unahitaji wataalam, jee kama hauna wasomi utakuwa na uwezo wa kuwekeza huko? Namjuwa mTanzania mwingine bingwa wa nuclear medicine anaitwa Dr. Mohamed Tuli, na Mwingine Bin Daar, wote watoto wa Kariakoo (kwenye vibaraghashia) na tunawahitaji sana.
Leo Tanzania tuna uranium, bila kuwa na hawa watu japo kutushauri tu namna ya kuiuza na "grading" si tutapakwa vumbi la macho tu?
Elimu haina mwisho na hata kama hauitumii hapa, ukiajiriwa tu nje na kutuma vijisenti nyumbani unakuwa umeisaidia sana nchi yako.