NSSF, BOT, Bandari, TRA, Bunge, PSPF ajira zitenguliwe

Hilo jambo halitawwzekana kabisa,sio kila mtu aliyepata kazi katika hizo taasisi nimtoto wa kiongozi au ni mtoto wa familia yenye uwezo,hizo tunaita ni chuki binafsi kama wewe unataka kufanya kazi kwenye hizo taasisi unasifa?kama unayo subiria tangazo la kazi kisha uombe.
 
Back
Top Bottom