Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
NOW AVAILABLE IN MAJOR BOOKSTORES IN DAR: "Majeruhi wa Mapenzi...." Kitabu ambacho kimekuwa ni gumzo kwa wasomaji wa lugha ya Kiswahili... sasa unaweza kukipata maduka ya Scholastic (Mlimani City) pamoja na maduka ya TPH (Samora Avenue na Quality Center): Bei ya reja reja ni 18,000 japo maduka yanaweza kuuza chini ya hapo kidogo.
Wahi nakala yako sasa!!! Kupata nakala yako maduka ya TPH piga simu: (Samora Avenue inatazamana na iliyokuwa Salamanda Hotel) 0614 115700, 0687 238126. na namba za Quality Centre ni 0767 512545.
Kupata nakala yako maduka ya Scholastic (Mlimani City) nenda tu pale.
Kwa wale walioko nje ya nchi bado kitabu kinapatikana kupitia Amazon.com: Online Shopping for Electronics, Apparel, Computers, Books, DVDs & more (kwa Wamarekani) na Ulaya kinapatikana http://www.amazon.eu (chagua nchi ambayo unaweza kutumiwa kutoka). Sehemu nyingine zote kinapatikana kwa Kindle (e-book).
Riwaya nyingine mpya iko jikoni..... stay tuned
Na wale ambao tayari mmepata nakala zenu, asante kwa kuendelesha lugha yetu na kuniunga mkono!! Mbarikiwe mpaka mpigwe na butwaa na mseme "duh!! huyu Mungu huyu!!!"
MMM (Mtunzi)