Vladivostok
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 288
- 1,319
Mtanzania Novatus Miroshi ametua Ukraine katika Klabu ya Shakhtar kwa mkopo kutokea zulte waregem ya ubelgiji.
Hii itampa fursa ya kukipiga UEFA ambapo wamepangwa na barca, porto na royal antwerp ya ubelgiji.
Kongole kwa mtanzania mwenzetu afu jamaa umri bado unadai.
Hii itampa fursa ya kukipiga UEFA ambapo wamepangwa na barca, porto na royal antwerp ya ubelgiji.
Kongole kwa mtanzania mwenzetu afu jamaa umri bado unadai.