The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
view profile: The finest - jamiiforums |the home of great thinkers hizo ndo contact zangu,na huyo atakupa maelekezo yote
yap pm zote zinapitia kwenye hiyo contact mentioned above
view profile: The finest - jamiiforums |the home of great thinkers hizo ndo contact zangu,na huyo atakupa maelekezo yote
ufadher unataka wito,si unaona mambo kunajisi kwa wanaolazimisha wito,huku wito huna.
ufadher unataka wito,si unaona mambo kunajisi kwa wanaolazimisha wito,huku wito huna.
Ile ndoa kwani ilikufa lini mbona sina kumbukumbu?
Ile ndoa kwani ilikufa lini mbona sina kumbukumbu?
umenikumbusha mbali sana
hahhaah lol asante sana kwa kuchakachua uchaguzi lol..
I m in love with............
WILL YOU MARRY ME PLEASE
na hii leo ni ya nani?? who is the lucky one...??/
Si unajua kwa chama tawala ushindi ni lazima,unishinde kwa kura,na kwa kuchakachua pia unishinde? hilo haliwezekani.
hahahah lol
mmmhh mie sijashinda kitu chochote..
labda ni kweli nilishinda halafu we ukaiba kura hahha lol
Haya fanya fanya mfunge ndo halafu urudi kutafuta infii
if you DO me I GONNA FABRICATE YOU!......
very serious fabrication
Nashukuru,nimepata mchumba ,kupitia JF, niliweka tangazo kama one month iliyopita, kuna member mmoja akanipa sister yake,tumeelewana taratibu nyingine zinaendelea. Nilipata maombi mengi .