Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Hello JF !!
1. Nimekua nikijiuliza hili swali mara kwa mara bila kujipatia jibu......kama ina vyojulikana kwamba iwapo una pesa yeyote iliyo chakaa mtu unalazimika kuipeleka bank ili upewe note mpya...ningependa kujua hii process ya recycling of our currency inakua vp?? yan inakuaje kuaje, pesa zilizo chakaa bank wanazipeleka wap na pesa mpya kuingizwa kwenye system.
2. kwann mpaka sasa nchi yetu inatumia currency mbili tofauti ?? nashindwa kuelewa....z t possible that kuna lots of dirty money loitered around ?? serikali inachukua hatua gani kuhusu hili swala ??
Ni hayo tu.
1. Nimekua nikijiuliza hili swali mara kwa mara bila kujipatia jibu......kama ina vyojulikana kwamba iwapo una pesa yeyote iliyo chakaa mtu unalazimika kuipeleka bank ili upewe note mpya...ningependa kujua hii process ya recycling of our currency inakua vp?? yan inakuaje kuaje, pesa zilizo chakaa bank wanazipeleka wap na pesa mpya kuingizwa kwenye system.
2. kwann mpaka sasa nchi yetu inatumia currency mbili tofauti ?? nashindwa kuelewa....z t possible that kuna lots of dirty money loitered around ?? serikali inachukua hatua gani kuhusu hili swala ??
Ni hayo tu.