North Korea Attempted Missle Launch Failed

Ndio Break News kwa sasa all over the World ila Kim mjeuri jaman khaa..!!
America won't do anything as even themselves were aatonished and suprised to see North Korea had missiles tena Submarine capable of being launched to every corner of Washington! Wamekiri hawakuwa wanafahamu so Trump no matter anataka au hataki watamshauri tu afikirie mara mbili kuishambulia Korea.
North Korea wanekuwa wanafanya majaribio haya kwa miaka. Yanaandikwa na vyombo vya habari dunia nzima.

Labda wewe ndiye ulikuwa hujui.
 
Nachoshindwa kuelewa ni kuwa Yaani watu wanaacha mambo yao wanafatilia ya huyu kipanki. Kweli panki ameshika makalio hawa jamaa. Yaani kitu wakifanya utasikia kama sio US basi south wao ndio wanakuwa watoa taarifa. Sijaona NK wakitoa taarifa ya US wala South. Maana wako busy na mambo yao. But hawa ndugu wengine ndio wamekuwa wasemaji wa jeshi la NK.
 
north-south-korea-map-asia.gif
north-korea-explained-demilitarized-zone-dmz-map-1024x807.png
north-korea-explained-demilitarized-zone-dmz-map-1024x807.png
 
Vikombora vyake vinafeli,anajionesha onesha,wazee wanamuangalia tu,dogo utawala wake umefika mwisho
 
Hugo dogo mapank alizowea kupiga kelele kwa Obama kumbe Obama alikuwa anakaona kachizi tu sasa safari hii ndo kakutana na chiz zaid yake he hamumunyi herufi wala maneno ye ni mzee wakupiga tu kwakweli wapigwe tu......nnachojua nyuma ya USA kuna Israel taifa teule lisiloztajataja ovyo silaha zake lakin ni za hatari kuliko danger mi najiandaa kuokota nywele tu kwakweli za dogo mapanki
 
Kaka nashkuru imeniita kwajina lang ningependa nikufaham kaka pia kama naweza kupata number yako umeniita kwaheshima sana
 
Imethibitika leo nuke yake ni uchwara. Sasa wanaweza kumshushia kipigo cha kufa mtu, ila bado wana wasi wasi ana madude gani mengne ambayo anaweza akatumia. Akijaribu kutest nuke kwa mara nyingine tena ikifail basi imekula kwake sidhani kama atamaliza mwaka huu akiwa madarakani. Kana kelele sana haka ambazo zinaweza kabisa kukaponza kakaishia kupata kichapo.
Hakuna uhakika wowote ule kuwa test yake ile imefailure kwasababu taarifa hizi zimetolewa na mashirika ya magharibi yenye propaganda za kutosha...credibilty ya taarifa hii kuwa zimefailure siyo ya uhakika kabsaaa,ulimwengu wa sasa ni vigumu vyombo vya habari vya magharibi ambazo nchi zao wanajianda na vita hii ya NRKorea kutoa taarifa zozote ambazo ni mbaya kwao kwahiyo kila taarifa ya NRkorea lazima iwe ni negative kabsaa...Mimi nadhni ukiangalia kwa ndani zaidi ni kuwa vita yoyote itakayoanzishwa na marekalini dhidi ya korea kaskazini lazima china atashirki kumsaidia china..maana mkakatati wa NWO ni kucontrol nchi zote duniani.mkwahyo hawa jamaa awawezi kuishia china pekeee
 
Kuna baadhi ya missile ambazo test za NK zilifanikiwa hayo hayo mashirika ya habari ya magharibi yalisema bila kumung'unya.

Hakuna uhakika wowote ule kuwa test yake ile imefailure kwasababu taarifa hizi zimetolewa na mashirika ya magharibi yenye propaganda za kutosha...credibilty ya taarifa hii kuwa zimefailure siyo ya uhakika kabsaaa,ulimwengu wa sasa ni vigumu vyombo vya habari vya magharibi ambazo nchi zao wanajianda na vita hii ya NRKorea kutoa taarifa zozote ambazo ni mbaya kwao kwahiyo kila taarifa ya NRkorea lazima iwe ni negative kabsaa...Mimi nadhni ukiangalia kwa ndani zaidi ni kuwa vita yoyote itakayoanzishwa na marekalini dhidi ya korea kaskazini lazima china atashirki kumsaidia china..maana mkakatati wa NWO ni kucontrol nchi zote duniani.mkwahyo hawa jamaa awawezi kuishia china pekeee
 
Mimi nadhni ukiangalia kwa ndani zaidi ni kuwa vita yoyote itakayoanzishwa na marekalini dhidi ya korea kaskazini lazima china atashirki kumsaidia china..maana mkakatati wa NWO ni kucontrol nchi zote duniani.mkwahyo hawa jamaa awawezi kuishia china pekeee

Mkuu hicho kifungu hakipo sawa, kipitie halafu hariri kidogo.
 
THAAD China anaiogopa sana
Inaonesha movement zote za Jeshi la china na ndio maana anampiga Ban SKorea kila siku
 
THAAD China anaiogopa sana
Inaonesha movement zote za Jeshi la china na ndio maana anampiga Ban SKorea kila siku

Wametoa tamko.

China reiterates opposition to South Korea's THAAD anti-missile system
r

FILE PHOTO - A Terminal High Altitude Area Defense (THAAD) interceptor is launched during a successful intercept test,..Reuters/File Photo

(Reuters) - China reiterated on Monday its opposition to the deployment of a sophisticated U.S. anti-missile system in South Korea..

South Korean acting President Hwang Kyo-ahn and visiting U.S. Vice President Mike Pence on Monday reaffirmed their plans to go ahead with the deployment of the system.

China says the system's powerful radar is a threat to its security. The United States and South Korea say it is only aimed at defense against North Korean missiles..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom