NOKIA ORIGINAL 30,000-130,000TSHS with warranty

rakeyescarl

JF-Expert Member
Dec 9, 2007
481
145
1.NOKIA 1662 -MADE IN ROMANIA/1 MONTH WARANTY/USED 6MONTH/- PRICE 30,000TSHS. WHEN NEW 75,000.TSHS

Basic specs RADIO/NO MEMORY CARD/PHONE BOOK

2.NOKIA X3-00 MADE IN MEXICO/1 MONTH WARRANTY/USED 6 MONTH BOUGHT IN US/-PRICE 120,000TSHS.WHEN NEW 225,000TSH
I CAN DELIEVR ANYWHERE IN TANZANIA.
Basic specs-USB/3.2MEGAPIXEL CAMERA/RADIO/1GB MICRO SD CARD.
Just PM me, the deal is you have to buy both!
 
Siku, original ni kinyume na fake-sijui kama nimejieleza vizuri lakini kwa maelezo zaidi ya ingia kwenye kamusi ,ni neno la kiingereza,Asante:A S 103:.
Maana yangu brother ni kwa kiasi gani una-guarantee kwamba hizo products ni original from Nokia (hivi zile ambazo ni underlicenced nazo huwa kundi gani vle?). Sina nia mbaya. Mimi binafsi ni mtumiaji mkubwa wa Handsets za Nokia na kwa bahati zote zimetengenezwa Finland na nimezinunua kwa Dealers wao na nilipewa warranty mwaka mmoja mmoja. Najua hizo ni Used kama sikukuelewa vibaya, inge-sound vema kama ungetukaribisha kununua Nokia Ex-Romania/Mexico ambazo naamini ni bora tu kwani zimepitishwa kwenye standards za US na Europe.
 
THX.
Kwa maana hiyo kama ni mtumiaji mkubwa wa NOKIA si unajua kuna jinsi ya ku prove kama simu esp.ya NOKIA ni original au la?
GD.
Maana yangu brother ni kwa kiasi gani una-guarantee kwamba hizo products ni original from Nokia (hivi zile ambazo ni underlicenced nazo huwa kundi gani vle?). Sina nia mbaya. Mimi binafsi ni mtumiaji mkubwa wa Handsets za Nokia na kwa bahati zote zimetengenezwa Finland na nimezinunua kwa Dealers wao na nilipewa warranty mwaka mmoja mmoja. Najua hizo ni Used kama sikukuelewa vibaya, inge-sound vema kama ungetukaribisha kununua Nokia Ex-Romania/Mexico ambazo naamini ni bora tu kwani zimepitishwa kwenye standards za US na Europe.
 
THX.<br>Kwa maana hiyo kama ni mtumiaji&nbsp; mkubwa wa NOKIA si unajua kuna jinsi ya ku prove kama simu esp.ya NOKIA ni original au la?<br>GD.<br>
Maana yangu brother ni kwa kiasi gani una-guarantee kwamba hizo products ni original from Nokia (hivi zile ambazo ni underlicenced nazo huwa kundi gani vle?). Sina nia mbaya. Mimi binafsi ni mtumiaji mkubwa wa Handsets za Nokia na kwa bahati zote zimetengenezwa Finland na nimezinunua kwa Dealers wao na nilipewa warranty mwaka mmoja mmoja. Najua hizo ni Used kama sikukuelewa vibaya, inge-sound vema kama ungetukaribisha kununua Nokia Ex-Romania/Mexico ambazo naamini ni bora tu kwani zimepitishwa kwenye standards za US na Europe.
 
ROmania hakuna kiwanda cha Nokia. Ulaya viwanda vya Nokia vipo Hungary na Germany. kama ni kweli zimetoka Romania basi zitakuwa ni Original- fake Nokia from Europe.
 
Back
Top Bottom