Wakuu me nahitaji simu ya nokia original iwe mpya kabisa na isiyozidi elfu 70,Naomba ushauri wenu ninunue aina gani,sihitaji kuitumia kwa internet,ni kwa kupiga tu na kuandika message,ila nahitaji yenye kioo kipana kwa kuwa nina tatizo la kutokuona maandishi madogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.