No-nonsense Kagame orders the arrest of four generals

Shimbo
yuko
wapi
jamani,mbona
sikuwahisikia
habari
yakua
anamatrilioni
kwenye
acount
nje
yanchi
zikikanushwa
nayeye
mwenyewe
au
viombo
husika???????
 
Col. Kikwete hawezi thubutu kwenda this far.. Ataanzia wapi? Maana kila mtu mwenye dhamana kwenye system (incl. yeye) ni mchafu.
 
Tanzania imekubuu kwa Ufisadi hata wangempa Mtoto wa Nyerere arudishe heshima ya Nyerere hawezi kabisa, ufisadi nisehemu ya maisha yetu kwa hivi sasa ni kama ukimwi. Angalia wezi wanavyosifiwa wakina Katunzi na Msofe au Lile Jambazi Masawe au wale wote wamiliki wa kagoda na Meremeta
 
Meremeta,kagoda,rada scandal,richmond,epa,twin towers,jairo,trilioni 3 za shimbo na mengine mengi bado tu hayatoshi kumfanya huyo chekelea kuchukua hatua,subiri siku akikunanihii ndo utajua alipaswa kufanya nini,watu wengine bana wanafikiri kama misukule vile!!
 
Sorry samahani sijui nisemeje kabla ya kuanza hili
naomba niwakumbushe kama mungu ataniweka hai nitaitafuta mada moja ya kagame niliweka hapa akisema viongozi wenfi wa afrika wamekwa madarakani na mafisadi na matapeli na wahujumu ucuhumi na ndio mana mpaka leo wengi wanashindwa kuwawadabisha wanapowakuta na upumbavu..akusita kusema la hasha hilo sio kwamba litatuacha tuendelee kulea upumbavu wao tutapambana nao mpaka mwisho.............

Sasa basi lazima mjue kagame akuwekwa na wakina rostam wa kigali la hasha alipigana mwenyewe na ndio maana leo hii ana uwezo wa kwenda sokoni na kushika mkono kila mtu mpaka mfagizi wa soko lakini sio raisi wenu...

Hiinamaanisha iwapo mnapoanza kulalamka kwa rais wenu kikwete lazima mjue ni nani waliochangia kumuingiza hapo alipo na ndio maana hata rostam afanyeje.hata chenge aibeje ,na takataka wengine ni vigumu kuweka ndna watu kama hao ...niliwahi kusema kama

chenge
rostam
lowasa
yule kanali aliekutwa na pesa sa wangekuwa kule kigali leo hii nawaambia
ndugu zao wangekuwa wakiwasili pale kinondoni cementry kila mwezi kutoa shukran na naamini hata kiwiliwili wasingepewa zaidi ya shingo zao
 
Na ndio maana leo hii amefungia mshauri mkubwa aliekuwa akimsaidia tangu wanapigana mpaka anakuwa rais na akuwafungia kama mwehu la hasha ninavyoongea jana kuna mmoja ametaka kujiua askari wakamlinda na sasa wamemuhamishia jeshini.....wengi wenye akili wanatakiwa kujua kagame akikupa uongozi anakupa msalaba wa kuwatumikia wananchi ..kuna siku wanyarwanda watanikumbuka kwa kujali wanyrwanda na sitaki kutoka madarakani leo hii watu wanasema kwa nini sikuondoka miaka 5 iliyopita la hasha napenda kuwahakikishia wanyarwanda wenzangu tumkuja uongozini kutumikia wananchi na akuna alie juu ya mamlaka kama atatjitokeza hata nyie mtakuwa shahidi...akusema watakachomfanya naamini sasa mmeona
 
Ultimate dictotorship & totalitarian state at best, sijui kama kuna tofauti gani na ile ya Wakorea Kaskazini. Hivi kesho mtaskia maiti zao zimeokotwa majiani. Sielewi wadanganyika wanachosifia hapa, kweli mkataa pema pabaya panamwita.
 
Naombeni utaratibu wa kuhamia Rwanda . Ni bora ukakae kwenye nchi inayoheshimu sheria kuliko hii ya Kuwachekea mafisadi.
 
ANGALIZO:
Hii ni safu ya siasa tu.
Je mada husika sio ya inteligensia?
Ni mtazamo tu.Naomba kuelimishwa.
 
Hivi kweli kawakamata kwa corruption au kwa vile wanahatarisha maisha yake kisiasa? Marais wa kiafrika siku nyingine wakitaka kuzima wapinzani wao kisiasa wanasema wanatetea maslahi ya nchi na usalama wa nchi.
 
Inauma sana huyu mtu wetu anavyochekea wezi na waharibifu wa uchumi na staha yetu! Tumebaki kuwa omba omba tu kwa sababu ya kuchekeana.

Ingekuwa ni jambo la busara kama tungemuhamishia kamanda wetu SHIMBO akakae na Kagame ili aipata pate kidogo pengine zile trillion zilizoko bondeni zingerudi!!
 
Kuna tofauti kubwa wa mifumo ya utawala na Rwanda. Ile ni nchi ya kidikteta , sisi tunafuata mfumo wa demokrasia(utawala wa sheria). Jk anaweza sana sana sheria ikiwabaini kuwa na kosa la kujibu.

Aweze wapi?? Athubutu auone moto utakavyounguza zile suti. Sisi Tanzania tuna mfumo wa Democrazy (Siasa za majitaka).
 
Back
Top Bottom