No Kikwete, Meles Zenawi was a dictator!

Dikteta ni wale ambao wanatumia muda mrefu kusafiri badala ya kushughulia matatizo ya ndani Kama madaktari walimu kuuza rasilimali za nchi kwa faida ya watu wachache Pamoja na kutumia vyombo vya dola kukandamiza upinzani achilia mbali kuingia madarakani kwa kutumia Tume ya uchaguzi kukuibia kura hao ndio madikteta tunaotakiwa kuwa zungumzia sasa meles zenawi alikuwa hivyo?

Kwahiyo hata mwenyekiti wa Chama cha mabwepande ni dikteta

Pamoja na yote hayo, when it comes to human rights, Meles was no good at all. Inawezekana JK hatimizi wajibu wake tulivyomtarajia alipotoa hotuba yake bungeni, but that is not a justification to rate Meles as a hero because JK has failed. JK has failed Tanzanians expectations in terms of economy, Meles has failed Africa continent and Ethipia in human rights. It might be true kwamba kiuchumi amefanya vizuri comparative to Tanzania.
 
Ndugu yangu, you either want to get things done and the country moving forward; lazima uwe dikteta kidogo ama uache nchi idumae watu waitafune kama mchwa kulia na kushoto uitwe DHAIFU, it is one way or the other; you can not eat your cake then have it at the same time!
Fanya utafiti kidogo kuhusu Rwanda ya Kagame; Ethiopia ya Meles Zenawi au Congo Brazzaville ya Dennis Sassou Nguesso ndio utaona tofauti ya aina mbili hizo za utawala!
Tukiendelea na sera za oooh wamiliki wa Dowans siwajui, Wauza mihadarati nawajua lakini nawaomba waache! Waliochukua pesa za EPA wazirudishe tutawasamehe! Tanzania ina raslimali nyingi lakini sijui kwa nini watu wake ni maskini kiasi hiki! Mkataba wa rada haukuwa na rushwa! hatufiki ndugu yangu!!

Nakubaliana na wewe, lakini ku-fail kwa JK sio warrant ya kumfanya Meles hero or an example to admire. Hawa wa ethiopia wanaokamatwa kila siku Tanzania wanakimbia nini kama sio uchumi duni.
 
Back
Top Bottom