wife wangu ni form 4 na mama wa house_kingaste ni std seven na tajir kwel kwel_hata cku moja ckuweza kujua the gap btn wife na kingaste _cku moja nikamuomba ruhusa wife ili nitoke alone kwa mising kuwa naenda kwny official party kumbe namtoko na kinganste_lakn kwa kuwa wife ni st kayumba alinielewa na kuniruhusu@ kwny party nikahudhuria na kingaste_huko nikakutana na classmet wangu dem_ghafla tukaanza kuchat kwa ya long na yaliyokuwa yakijil ukumbin_aisee pamoja na kwamba kingaste nilikuwa nimemtambulisha kwa classmet na kuchekeana_aligeuka na kuwa mlal kuliko maelezo_alitoka nje na kuwasha gar yake na kuondokana mim nikaowasha nikarud hom_nachoshangaa iweje wife asikatae kumuacha nitoke na kingaste ila kingaste anikatalie kuwasiliana na ciassmet_hapa.ndo nakumbuka kuwa wif ni st kayumba na kingaste ni no class ingawa ni tajir_aise kumbe no class ndo wapo ivo afadhali nh baki na ma wife sikito wa ukwel