Nimekuwa nikinunua umeme wa luku kwa kutumia NMB mobile account.Kuna wakati nimekua napata maelezo yanayonionyesha voucher ya umeme nilionunua lakini bila kupata message ya NMB.Imani yangu ilikuwa kama hakuna NMB message basi na makato hayakufanyika,leo nimegundua ya kuwa makato yanakatwa.
Naomba NMB na TANESCO watuelimishe kuhusu hili,je fedha zangu nitazipata vipi?
Naomba NMB na TANESCO watuelimishe kuhusu hili,je fedha zangu nitazipata vipi?