Tena nyie mnaosemaga hivo ndo hatar kupindukiaMkuu nitake radhi,mimi na kapeace tunaheshimiana sana kumkaribisha nyumbani akachume mabilinganya nimemtongoza?Basi hata mama sabrina aje tu.
Kwa hiyo ni picha mbaya?hata ya chakula?Hebu muite kapeace mkuu.Unamteteaje mke wa mtu?au wewe mchepuko wake?Tena nyie mnaosemaga hivo ndo hatar kupindukia
ningekua mimi nimegundua nakueka selo miez 6 utamtumiaje mke wa mtu picha kama hio
Nini mkuu
Mkuu hata kama wewe unataka njoo uchume tu unaweza kumpelekea na kapeace si ni jirani yako?