Kwa yeyote anayejua naomba anifahamishe ni njia gani sahihi ya kupima kisukari.
-Kupima pale unapopatwa na dalili au kabla ya dalili? Na ukipima kabla ya dalili unaweza kuonekana?
-Njia nzuri ni ipi kupima damu au mkojo? Je njia ya kupima damu ni ile ya kutoboa kidole nakuweka damu
kwenye kimashine au kuna nyingine. Msaada tafadhali.
-Kupima pale unapopatwa na dalili au kabla ya dalili? Na ukipima kabla ya dalili unaweza kuonekana?
-Njia nzuri ni ipi kupima damu au mkojo? Je njia ya kupima damu ni ile ya kutoboa kidole nakuweka damu
kwenye kimashine au kuna nyingine. Msaada tafadhali.