DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Mkongwe na mmoja ya watu muhimu katika ujio wa mahitaji ya siasa za kisasa Nchini Tanzania Mzee Njeru Kasaka leo katika gazeti la Raia Mwema tarehe 11 January 2012.Ametoa makala yenye ujumbe mzito sana kwa Wanacccm wenzie kubadilika na kuacha siasa za FITINA [angekuwepo Mwalimu angeita Mizengwe].Mzee huyu anasema CCM ikiyumba maana yake na Nchi inayumba,hivyo siasa za kinafiki ndani ya CCM zina zaa UNAFIKI wa kwa TAIFA zima.
Katika Makala hiyo nzito iliyoshiba Mzee huyo maalufu sana miaka ya nyuma enzi hizo ndani ya Bunge kama mmoja wa kundi la G55.Amesema dunia ubadilika kutokana dhamila ya binadamu ambayo upelekea Mwanadamu kuitaji mambo mapya yenye kumzunguka anasema dhamira ilimfanya Mandera kwa kuzipinga sheria za kibaguzi za africa kusini.Hivyo dhamira mpya miongoni mwetu ndio chahchu za maendeleo na ustaarabu wa jamii.Kugandamiza dhamira na chipukio ya mambo mpya na kugangania uzamani uzalisha unafiki.
Anaseme sasa kumzeuka suala jingine ndani ya CCM,suala hilo ni unafiki.anasema unafaki sio kitu kizuri kuna viongozi wameanza kuulea na kueendeleza.Kwa mfano wakati wa kula za maoni baadhi ya viongozi wao binafsi kwa makusudi wanahamua kumuhujumu mmoja wa wagombea na kumpa ushindi mwingine ambae hakustahiki kwa sababu wanazojua wenyewe.
Hayo uendele kwa kujenga miafaka dhidi ya mdhaulumiwa na mshindi kwa vigezo vya kujenga chama uku mioyoni mwao wanavinyongo tele, ingawa kwa kufanya hivyo uonyesha jamii kuwa wamekomaa kiasasa.Wengi waliofikaw na mambo haya uendeleea kunungunika pembeni.
anasema mifarakano inayoendelea kwa sasa ndani ya CCm ni ishara kuwa UNAFIKI umefika kikomo.kwani katika zama za sasa za utandawazi [Pata picha ya Jammi forum wazo binafsi sio la Mzee Njeru] na uhuru wa vyombo vya habari hakuna taasisi inaweza kudumu kwa kujikita kwenye UNAFIKI na UDANGANYIFU.
"Unaweza kuwadanganya watu waote kwa muda,lakini uwezi kuwadanganya watu wote muda wote"... anasema leo kuna kila dalilil ya CCM kufumbia macho maovu wanayotendewa baadhi ya wanachama wake na viongozi wake.Upendeleo na hujuma ni mambo yasiyofichika.Kiongozi akishabikia waliotoa rushwa walizidiana ni lughaya kuhalalisha rushwa katika chaguzi za chama
Viongzoi wakikumbwa na mmomonyoko wa maadili [RUSHWA,UFISADI NA UNAFIKI] Taifa linakumbwa na mkanganyiko na mustakabali wake haueleweki.Viongozi ndio muhimili wa mustakabali waTaifa hasa katika Nchi kama Tanzania.ansema tujifunze kutoka Somalia.Ansema Naigeria imetumbukia kwenye matatizo kwa viongozi kwa kutokuchua hatua mapema dhidi ya UFISADI,UKABILA,UDINI,RUSHWA na kutotenda haki kwa baadhi ya jamii na maeneo ya baadhi ya Nchi
Katika Makala hiyo nzito iliyoshiba Mzee huyo maalufu sana miaka ya nyuma enzi hizo ndani ya Bunge kama mmoja wa kundi la G55.Amesema dunia ubadilika kutokana dhamila ya binadamu ambayo upelekea Mwanadamu kuitaji mambo mapya yenye kumzunguka anasema dhamira ilimfanya Mandera kwa kuzipinga sheria za kibaguzi za africa kusini.Hivyo dhamira mpya miongoni mwetu ndio chahchu za maendeleo na ustaarabu wa jamii.Kugandamiza dhamira na chipukio ya mambo mpya na kugangania uzamani uzalisha unafiki.
Anaseme sasa kumzeuka suala jingine ndani ya CCM,suala hilo ni unafiki.anasema unafaki sio kitu kizuri kuna viongozi wameanza kuulea na kueendeleza.Kwa mfano wakati wa kula za maoni baadhi ya viongozi wao binafsi kwa makusudi wanahamua kumuhujumu mmoja wa wagombea na kumpa ushindi mwingine ambae hakustahiki kwa sababu wanazojua wenyewe.
Hayo uendele kwa kujenga miafaka dhidi ya mdhaulumiwa na mshindi kwa vigezo vya kujenga chama uku mioyoni mwao wanavinyongo tele, ingawa kwa kufanya hivyo uonyesha jamii kuwa wamekomaa kiasasa.Wengi waliofikaw na mambo haya uendeleea kunungunika pembeni.
anasema mifarakano inayoendelea kwa sasa ndani ya CCm ni ishara kuwa UNAFIKI umefika kikomo.kwani katika zama za sasa za utandawazi [Pata picha ya Jammi forum wazo binafsi sio la Mzee Njeru] na uhuru wa vyombo vya habari hakuna taasisi inaweza kudumu kwa kujikita kwenye UNAFIKI na UDANGANYIFU.
"Unaweza kuwadanganya watu waote kwa muda,lakini uwezi kuwadanganya watu wote muda wote"... anasema leo kuna kila dalilil ya CCM kufumbia macho maovu wanayotendewa baadhi ya wanachama wake na viongozi wake.Upendeleo na hujuma ni mambo yasiyofichika.Kiongozi akishabikia waliotoa rushwa walizidiana ni lughaya kuhalalisha rushwa katika chaguzi za chama
Viongzoi wakikumbwa na mmomonyoko wa maadili [RUSHWA,UFISADI NA UNAFIKI] Taifa linakumbwa na mkanganyiko na mustakabali wake haueleweki.Viongozi ndio muhimili wa mustakabali waTaifa hasa katika Nchi kama Tanzania.ansema tujifunze kutoka Somalia.Ansema Naigeria imetumbukia kwenye matatizo kwa viongozi kwa kutokuchua hatua mapema dhidi ya UFISADI,UKABILA,UDINI,RUSHWA na kutotenda haki kwa baadhi ya jamii na maeneo ya baadhi ya Nchi