Jitihada
Senior Member
- Feb 6, 2011
- 155
- 10
Japo kesi ya mzee wa vijisent(chenge) imepita lakini bado nashindwa kuubalance mzani wa sheria na haki, hivi kwa kosa kama lile la mzee chenge la kuua anaenda kupewa adhabu ya kulipa 700,000/=, mbona napata picha kama hizi sheria zetu zina matabaka kati ya watawala na watawaliwa japo kila siku 2nasikia et watu wote ni sawa mbele ya sheria. labda kidogo ingeniingia akilini kidogo kati ya zile adhabu mbili alizopewa yaani ya kwenda jela na kulipa hiyo 700,000/= basi kama si kupewa zote abebeshwe adhabu ya kwenda jela! Mbaya zaidi anaamua kutoka huku akijigamba ni president wa bara!