Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,090
- 2,710
Nauhitaji na passport lakini kama ujuavyo hizi idara bila chochote kitu utasoteshwa! Nataka nipate passport, na kama ilivo ni haki yangu bila kutoa hata senti. Kitachonigharimu ni muda tu, nitahesabu hapa siku nitazotumia. Pia unaweza share maswahibu yako.
Siku ya Kwanza
Nimefanya application online na kujaza kila taarifa humo na kuambatanisha vyeti na vitambulisho.
Siku ya Pili
Nimekuja hapa lakini tumesimamishwa nje tumeambiwa tumechelewa na mlinzi. Sasa hivi ni saa 9 na nusu( 3:30pm). Tumeambiwa mwisho saa 8 walioko ndani au waliokwisha anza ndio wataendelea hadi muda wa kufunga.
Nimegeuza narudi home…. Nimetumia elf 4000 narudi bila bila.
Siku ya Tatu
Nimefika saa 6 mchana. Zimekusanywa form zetu wote tumeambiwa tukasubiri kwenye mabenchi kuitwa. Wenye maelekezo wanawaita maofisa wanaongea vitu, ofisa anabeba form yake separately kwa ajili ya kushughulikia. Wengine tunasubiri foleni.
Kunabkaukakasi ka hapa na pale hasa baadhi unakuta anaenda moja kwa moja dirishani mwingine ananyooshewa kidole aende tu, ila si mbaya.
Nimeitwa dirishani NO: x nimeambiwa pamoja na kua nimejaza mtandaoni vyeti vyote bado natakiwa niwe na Hard copy na isainiwe na mwanasheria.
NB: sasa hii ya online sijui ya nn? unajaza unaweka viambatanisho lakin ukija huku wanataka hard copy.HAINA MAANA AISEE HII MIFUMO YA DIGITAL KWETU TUNAFANYA KAMA UTARATIBU LAKIN SI KURAHISISHA MAMBO.
Kifupi form haijapewa namba yaan tumesubiri muda wote just kuja kuambiwa hivo toka saa 6 saizi saa8:48 (2:48 am).Kifupi nimekasirishwa n hili kwan tulipoenda mapokezi kuna mlinzi mmoja alikua kuna baadhi ya watu anawachambulia na kuwatudisha au kuwaambia vitu vingine vya kuambatanisha kabla hawajaenda kupanga folen. Chaa ajabu akatokea afisa akakusanya mafom ya wengine wote na kusema kukasubiri HUU UTARATIBU SIYO.
Wakat aliyeko mapokezi angeweza kutoa maelekezo pale kwa watu waliojaza form mtandaon wafanye nn kabla hawaleta form au kwa wanaoanza. Kifupi kuna upotezaji wa muda hapa sana.
Ok kwaiyo sasa kazi ni kumuona mwanasheria na kuprint hard copy na mwisho wa kaz ushakaribia. Kesho n sikukuu hawafungui….. hii imeenda had jumatatu.
SIKU YA NNE:
Leo ni sikukuu hawafungui ofice aisee….Lakin na ihesabu si makosa yangu
Siku ya Kwanza
Nimefanya application online na kujaza kila taarifa humo na kuambatanisha vyeti na vitambulisho.
Siku ya Pili
Nimekuja hapa lakini tumesimamishwa nje tumeambiwa tumechelewa na mlinzi. Sasa hivi ni saa 9 na nusu( 3:30pm). Tumeambiwa mwisho saa 8 walioko ndani au waliokwisha anza ndio wataendelea hadi muda wa kufunga.
Nimegeuza narudi home…. Nimetumia elf 4000 narudi bila bila.
Siku ya Tatu
Nimefika saa 6 mchana. Zimekusanywa form zetu wote tumeambiwa tukasubiri kwenye mabenchi kuitwa. Wenye maelekezo wanawaita maofisa wanaongea vitu, ofisa anabeba form yake separately kwa ajili ya kushughulikia. Wengine tunasubiri foleni.
Kunabkaukakasi ka hapa na pale hasa baadhi unakuta anaenda moja kwa moja dirishani mwingine ananyooshewa kidole aende tu, ila si mbaya.
Nimeitwa dirishani NO: x nimeambiwa pamoja na kua nimejaza mtandaoni vyeti vyote bado natakiwa niwe na Hard copy na isainiwe na mwanasheria.
NB: sasa hii ya online sijui ya nn? unajaza unaweka viambatanisho lakin ukija huku wanataka hard copy.HAINA MAANA AISEE HII MIFUMO YA DIGITAL KWETU TUNAFANYA KAMA UTARATIBU LAKIN SI KURAHISISHA MAMBO.
Kifupi form haijapewa namba yaan tumesubiri muda wote just kuja kuambiwa hivo toka saa 6 saizi saa8:48 (2:48 am).Kifupi nimekasirishwa n hili kwan tulipoenda mapokezi kuna mlinzi mmoja alikua kuna baadhi ya watu anawachambulia na kuwatudisha au kuwaambia vitu vingine vya kuambatanisha kabla hawajaenda kupanga folen. Chaa ajabu akatokea afisa akakusanya mafom ya wengine wote na kusema kukasubiri HUU UTARATIBU SIYO.
Wakat aliyeko mapokezi angeweza kutoa maelekezo pale kwa watu waliojaza form mtandaon wafanye nn kabla hawaleta form au kwa wanaoanza. Kifupi kuna upotezaji wa muda hapa sana.
Ok kwaiyo sasa kazi ni kumuona mwanasheria na kuprint hard copy na mwisho wa kaz ushakaribia. Kesho n sikukuu hawafungui….. hii imeenda had jumatatu.
SIKU YA NNE:
Leo ni sikukuu hawafungui ofice aisee….Lakin na ihesabu si makosa yangu