Nitarudisha kadi ya CHADEMA haraka sana...

hivi nyinyi wana ccm kwanini hamumlamimikii mwigulu kuhusu kupanda kwa pesa ya wabunge si chama ni sikivu? kwa nini mnalaumu chadema kwa sera zenu wenyewe?
 
mara narusha kadi ohh sacos oh pesa za ros. Sema yote ueleweke mbona kama unatishia. Au umeshikiliwa?
 
Wewe mwehu kwelikweli huwaezi kutuletea upumbavu wa dizaini hii.Kama mme wako tu amekushinda kumgeuza awe CCM wewe leo unaongelea mambo ya CDM utayawezaaa????????.
 
Wewe mwehu kwelikweli huwezi kutuletea upumbavu wa dizaini hii.Kama mme wako tu amekushinda kumgeuza awe CCM wewe leo unaongelea mambo ya CDM utayawezaaa????????.
 
Ndg yangu nakupa pole, ulikosea njia kwabahati mbaya, njua muda wa miaka 14 jasho lako limetafunwa na akina Mbowe, Slaa, Lisu; Mnyika, Wenje,Lema Shoga. pole sana. Wapotezee kuanzia sasa.
 
fanya fasta, unatupotezea muda wa kulikomboa taifa, wewe ni muumini wa mtu, na si sera, nenda uendako kidusta weee
 
fanya fasta, unatupotezea muda wa kulikomboa taifa, wewe ni muumini wa mtu, na si sera, nenda uendako kidusta weee

sera ipi ya cdm unayoifahamu? Kinaitwa ... Cha demokrasia ,hakuna demokrasi ndani yake bali ubabe, udikteta wa kubadili katiba kutawala bila kikomo... Shame upon you!
 
Back
Top Bottom