UvCcm wanaweza kuvalishwa Magwanda halafu akawaita na kuwanyuka makofi kaa ujue haya ni maigizo ya CCM ili KUWAHADAA wananchi.
Naapa nitajiunga CCM Makonda akiwa summon wanajeshi kama anavyowa summon Mawaziri na kuwatishia kuwachapa makofi. Nitampa kura ya Urais
Kufanya usafiJeshi linakazi za ulinzi wa mipaka yetu, wapi mpaka wetu umetetereka?,
Jeshi halina huduma za moja kwa moja katika maendeleo ya wananchi, za kimsingi mfano afya, kilimo, ardhi N. K.
Mtoa mada anaakili mbovu.
Awa summon wanajeshi kwa lipi? Kwani wao wanahusikaje kwa wananchi? Hata kama mnamchukia Makonda, tumieni akili kuonesha chuki zenu!Naapa nitajiunga CCM Makonda akiwa summon wanajeshi kama anavyowa summon Mawaziri na kuwatishia kuwachapa makofi. Nitampa kura ya Urais
Mbona waliambiwa wakasafishe jiji wakati ni kazi ya Halmashauri! Usishangae akawaita kwa maana nchi hii inaendeshwa kuburuzwa.Jeshi linakazi za ulinzi wa mipaka yetu, wapi mpaka wetu umetetereka?,
Jeshi halina huduma za moja kwa moja katika maendeleo ya wananchi, za kimsingi mfano afya, kilimo, ardhi N. K.
Mtoa mada anaakili mbovu.
Never and can't happen, kila kitu kina mipaka yake, (limitation) kinachofanyika ni labda jeshi (kuombwa) kusaidia jambo fulani!Mbona waliambiwa wakasafishe jiji wakati ni kazi ya Halmashauri! Usishangae akawaita kwa maana nchi hii inaendeshwa kuburuzwa.
Ati "kila kitu kina mipaka yake" wakati Mahakama zinaingiliwa Bunge linaingiliwa acheni POROJO BANAA!!! Mipaka gani unayoiongelea?! Kwi Kwi Kwi...Never and can't happen, kila kitu kina mipaka yake, (limitation) kinachofanyika ni labda jeshi (kuombwa) kusaidia jambo fulani!
Jua lote hili umelewa, kuna mawaziri wanajeshi?Naapa nitajiunga CCM Makonda akiwa summon wanajeshi kama anavyowa summon Mawaziri na kuwatishia kuwachapa makofi. Nitampa kura ya Urais
Mfano: ndugu mwenezi kuna mwanajeshi amekuwa akitunyanyasa blablablaAwa summon wanajeshi kwa lipi? Kwani wao wanahusikaje kwa wananchi? Hata kama mnamchukia Makonda, tumieni akili kuonesha chuki zenu!
Weeee usiseme hivyo watafanya maigizo utashindwa kuikimbia ahadi yako, wana Siasa unawajua na kuwaamini?Naapa nitajiunga CCM Makonda akiwa summon wanajeshi kama anavyowa summon Mawaziri na kuwatishia kuwachapa makofi. Nitampa kura ya Urais
Huu ni upumbavu, unapoongea ukweli ni bora kuliko kutetea uovu ,mipaka ya Tanzania ipo very porous, ndio maana human trafficking imeshamiri mno,drugs cartels na money laundering inatisha, usiogope kusema kisa ni jeshi,jeshi hawako malaika, wanajeshi wamejiingiza kwenye scandals za kuwapotezea respect, wamepiga raia pale kawe, mmoja aliamua kumpiga bus driver (,aliyekua aneshikilia roho za watu including watoto )Jeshi linakazi za ulinzi wa mipaka yetu, wapi mpaka wetu umetetereka?,
Jeshi halina huduma za moja kwa moja katika maendeleo ya wananchi, za kimsingi mfano afya, kilimo, ardhi N. K.
Mtoa mada anaakili mbovu.