AKILImuchknow
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 213
- 14
Wakati wadau wa filamu na kazi za wasanii wakimtolea macho Aunty Ezekiel baada ya picha zake za nusu uchi kusambaa huku zikidaiwa kuvunja maadili ya kitanzania msanii mwenzake Salma Jabu'NISHA' amezitolea uvivu picha hzo na kudai kuwa endapo angekuwa na madaraka ya juu BASATA basi angemchukulia hatua za kumfungia haraka msanii huyo kwa muda[Imenukuliwa kutoka chanzo ki1 cha habari].Tupia maoni yk.