Gabrielgoodluck
Member
- Dec 7, 2017
- 19
- 5
Asanteni kwa maoni yenu wadau
Ukishatajiwa ndo unajiongeza sasa unaendana Nazo. Maana unaweza ukawa hivi kumbe mwenzio anapenda vile hivyo anaumia rohoni.Hahaaa. Maswali mengine hayafai kabisa na ni ya kudhoofisha na saa nyingine yanaweza haya kuua kabisa mahusiano aiseee.
Je akikutajia sifa ambazo ni nje ya zile ulizonazo utajisikiaje? Wacha hizo. Umeshapendwa tulia.
Hahaa. Nyingine ni za kimaumbile kama hizo zinabadilishwaje sasa. Au ndio kuanza kuzuzuka kisa mtu mmoja.Ukishatajiwa ndo unajiongeza sasa unaendana Nazo. Maana unaweza ukawa hivi kumbe mwenzio anapenda vile hivyo anaumia rohoni.
Kwamfano anapenda urefu na ww ni kifupi nyundo utafanyaje/unajiongezaje na ndio mpo tayari kwenye mahusiano!???au ulikuwa unamaanisha tabia za kimatendo??Ukishatajiwa ndo unajiongeza sasa unaendana Nazo. Maana unaweza ukawa hivi kumbe mwenzio anapenda vile hivyo anaumia rohoni.
Hahaaa. Huyo alimaanisha maswali kama hayo. Hebu fikiria hapo shoga kitakachofuata. Si ni kujiondoa taratibu.Kwamfano anapenda urefu na ww ni kifupi nyundo utafanyaje/unajiongezaje na ndio mpo tayari kwenye mahusiano!???au ulikuwa unamaanisha tabia za kimatendo??
DaaahHahaaa. Huyo alimaanisha maswali kama hayo. Hebu fikiria hapo shoga kitakachofuata. Si ni kujiondoa taratibu.
Sababu atapita kijana mrefu mdada wa watu atakodoa jicho yeye tayari kanuna.
Akifikisha mwaka utamkomaaNa ndio una mwezi mmoja JF!
Waulize tu yale maswali vp mpenzi uliniomba sh ngapi vileee nimeshapata nikutumiee.Daaah
Sipendi kuulizwa umetembea na wanaume wangapi?Ukimuuliza mwanamke wako ilo swali basi ujue umejitengenezea Bomu we mwenyewe.