Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,118
- 37,672
Yaani nimefikiria sana mateso uliyopitia plus twins on the top. You are a super woman ever. Binafsi ndia naichukulia kama no Wito lakini kaatika Wito huo kama mmoja wao amevunja or Kwenda kinyume na maandiko honestly I don't baby sitting nothing . Yote yanavumilika but not Uzinzi and Abuse . Dear move on with your life. Nenda kawasikilize because ni wazazi nenda na huyo mchumba wako Wa sasa ili asijisikie vibaya. Wasikilize watakachoongea hadi mwisho . Wakimalimaliza waambie wazazi nashukuru kwa mliyooyaongea but now what I want is my Divorce as mnavyoona I moved on with my life after your son abounded me with my kids. Nimeshasamehe yote mliyonifanyia but I can't him back nataka talaka yangu for now that's it. Dada simamia msimamo wako. Na hii iwe fundisho kwa baadhi ya wanaume walio ughaibuni , waliooa bongo na watoto MTU umeshajijua una Familia why usishee na mama watoto wako the Truth uliyoikuta huko mkashauriana kwa pamoja either urudi home Tz or ubaki ughaibuni kwa muda ili utengeneze makaratasi ili uweze kufanya maisha bila kuuumiza Familia zao walizoziacha Tz. Wengi baadhi yao wanachanganywa na hao wazungu kwa ulimbukeni wakiwaona wazungu ni Mali kumbe hamna kitu matokeo yake walichokifuata hawakipati ahadi walizoahidiwa are empty wanaishia kurudi home with nothing . Hapo sasa ndio wanaanza kuyafuta Yale matapishi waliyotapika before wanasahau kuwa kuna different seasons ya kuyafanya Yale matapishi yawe bado mabichi or yawe yamekauka. So too bad kwa baba watoto wako matapishi aliyoyatapika yalikauka na kuzolewa now ni Gold . Kwa sababu you shine now he can see you . Hebu naomba ujiulize dear kama asingerudishwa aka Fanya business na huyo mzungu wake angekukumbuka? The answer is no . So darling move on with all blessings . Even God hates sexual immortals. Aliivunja ndoa mwenyewe . Thanks.
Kule umepita lkn!