Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 883
- 3,066
Baada ya kufariki mdogo wetu Nisher familia na ukoo tumefika Arusha msibani lakini kama ndugu tunashangazwa sana na mambo yanayoendelea kwenye hii nyumba ya matamko, hapa ninapoandika mzee mfiwa amelewa chakari na usiku kulitokea mambo ya kuogofya sana.
Usiwe mbali na uzi huu naleta picha za yanayoendelea hapa msibani.
Usiwe mbali na uzi huu naleta picha za yanayoendelea hapa msibani.