Niwekee link basiiBro ww inaonekana ni mweupe kabisa kuhusu hizi deal za online.
Nenda telegram
Join group flani linaitwa smatskillz
Ni la wabongo wanaopiga hizi deal za online
Join apo upate mwanga kidogo
Kuhusu Paypal jins zinavyopatkana View attachment 2152743
Naona unataka kula kichwa
Nimeikumbuka account yangu ya muda sana, ilikuwa ya survey, aingie apige hela.Naona unataka kula kichwa
Kwenye link naona neno referral. mambo ya referral sihitaji mzee
Huwa naona watu wanapromote tu kuingiza pesa online, lakini sijaona wakitoa shuhuda wamefanikiwa kutoa hizo pesa, kwanini?Nimeikumbuka account yangu ya mda sana,ilikuwa ya survey,aingie apige hela
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Haya, ipotezeekwenye link naona neno referral. mambo ya referral sihitaji mzee
Akili kumkichwa aposometimes bitcoins zina mambo ya referral. telegram mara kibao natumiwa message na hawa referrees. imekuwa ni usumbufu.
mara nyingine unashangaa upo kwenye group/channels za bitcoins halafu aliyekuunga humjui, uki-leave kesho yake utajishangaa upo kwenye group lingine la bitcoins.
Hata Mimi najua hivyo! Mpaka u connect na namba ya Kenyasi wanasema TZ bado hatuwezi pokea pesa kwa paypal?, au tayari tumeshaanza?
Kuna mimiKunani?
Ni mzunguko sana kuwithdraw pesa kutoka paypal, naonaga watu wanatumia complications kibao ambazo kila nikijaribu kutulia sizielewi.Hata Mimi najua ivyo! Mpaka u connect na namba ya Kenya
Jaribu pia PREMISE ni App kuna survey na Tasks malipo yataingia kama vocha kwa namba yako ya simuwabongo ni wachoyo sana kukupa siri ya hatua zote za mafanikio. tangu uzi uanze aliyetoa jibu sahihi kwa mujibu wa swali langu ni mmoja tu, aliyesema nijaribu appen na oneforma. waliobaki wote wanazunguka tu
Bila shaka hujaainisha anataka kipato cha namna gani ... anachotaka yeye ni 2$ per day.Yaani unakuwa umekaa tu pesa inaingia yenyewe?
shukrani.Jaribu pia PREMISE ni App kuna survey na Tasks malipo yataingia kama vocha kwa namba yako ya simu
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Mkuu usipende kuwa mtu wa lawama, shukuru kwa msaada wowote utaopata hata kama ni mdogo..!wabongo ni wachoyo sana kukupa siri ya hatua zote za mafanikio. tangu uzi uanze aliyetoa jibu sahihi kwa mujibu wa swali langu ni mmoja tu, aliyesema nijaribu appen na oneforma. waliobaki wote wanazunguka tu
Kwenye app inasoma kama pesa tsh lakini kibongo kwetu njia inayowezekana kuipata kirahisi ndio hiyo itaingia kama salio la vochashukrani.
hizo vocha ni vocha kama vocha au points unazoweza kubadili kuwa pesa?.
Poa mkuu.Mkuu usipende kuwa mtu wa lawama, shukuru kwa msaada wowote utaopata hata kama ni mdogo..!
Kuponda wakuwa "wabongo ni wachoyo" - haitakusaidia kwa lolote.
Njia nzuri na za uhakika , kuteng4neza kipato kizuri .. ni kuanzisha media kupitia social media/network
Mfano: YouTube =hapa baada ya muda utapata ads revenue,
lakini vile vile utaweza kufanya
affiliate marketing, kwa kutangaza /kuuza phyiscal/ digital product hata kama sio zako!!
Na pia unaweza ingia mikataba na kampuni kadhaa kuwa tangazia bidhaa kwenye video zako/ insta /fb pages na ukapata pesa nzuri..
Poa mkuu, shukrani.Kwenye app inasoma kama pesa tsh lakini kibongo kwetu njia inayowezekana kuipata kirahisi ndio hiyo itaingia kama salio la vocha
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Appen, toloka, picoworker ingawa toloka na picoworker ni nzuri maana zinalipa kwa skrill hamna longolongo, lakini changamoto ndo hivyo pesa kidogo $2 mpaka 10 kwa siku.wabongo ni wachoyo sana kukupa siri ya hatua zote za mafanikio. tangu uzi uanze aliyetoa jibu sahihi kwa mujibu wa swali langu ni mmoja tu, aliyesema nijaribu appen na oneforma. waliobaki wote wanazunguka tu