Ndio maisha mungu aliowapangia.... Mambo mengine ni majaaliwa tuWengi hasa walio single wana maisha ya upweke sana. Inasikitisha.
Yupi huyo kiongozi?Mpigie simu Mr. born in town atakupa ya kwake. Inatosha.
Sawa kiongozi, ipoje ratiba yako kama hautajali.Mi naishi kama mstaafu..
Ili iweje?
HaahaaIli ivimbe
😁😁Mimi Kama mstaafu Huwa nalala tu na kujuta kuisaidia ccm kuiba kura mwaka 2006.kiunua mgongo chenyewe kimeisha.
yeah ni vizuri kujipanga mapemaAhahahah ametutia moyo kijana, mwez ujao natimiza hapo hapo .
Sisi sio vijana mkuu, sis tushakua watu wazima, tushatoka ujanani
Ndio ni ratiba ya siku nzima kutoka mawio hadi machweo. Nataka kujifunza kitu.
Pia kama mstaafu ni wewe mwenyewe sio mbaya ukashare pia.
Sharing is caring.
Kuamka
Kunywa chai
Kwenda kununua gazeti
Kulisoma
Kula cha mchana
Kumalizia kusoma gazeti
Kula cha jioni
Kuangalia taarifa ya habari
Kulala
Madini muhimu sana haya. asante kiongoziMimi ntatoa ratiba then ntatoa na ushauri.
Morning , Kuamka ,kusali, kupata chai
Kufanya mazoezi ya kutembea kwenda kununua gazeti .
Mchana kula chakula ,na kupumzika
Jioni kwenda kuangalia miradi inaendeleaje ,Shamba plus mifugo.
Ushauri
Kama umestaafu , usiache kufanya kazi, ukiacha kufanya kazi utaweza kupata magonjwa na kufa mapema Sana .
Ratiba zako baada ya kustaafu ziwe ni zile zile za kuendelea kutafuta hela na kutatua changamoto za watu.
Nasema hivi maana mzee wangu alistaafu akiwa na miaka 60 yrs Ila ameendelea na kazi na yupo around 67 yrs Ila rafiki zake 90% hawapo tena Ila mzee wangu kila siku anzaliwa upya.
Hivyo ukistaafu anadaa mradi wowote utakaokuwa unaingiza pesa usikae tu unakula unakunywa na kulala utakufa mapema na magonjwa yatakufata.
Wastaafu wengi hufa mapema kwa hilo tatizo
Andaa kitabu aisee nitakuwa miongoni mwa wateja wako.Nilikuwa nawaza kuandika ,makala kwa ajili ya watu ambao wanatarajia kustaafu na ambao wamestaafu ili kutoa , Mambo ya msingi ya kuzingatia .
Nimekuwa nikitoa hii elimu kwa wanajeshi Sana Sana Ila kwa Bahati mbaya bado sijapandisha Uzi JF.
Hapo juu nimeelezea kidogo Ila nikipata muda ntaandika uzi .
kimbembeKataaNdoa
Hizo ni sensitive details za mtu. Such kind of info si vema kuwekwa mtandaoni.Ndio ni ratiba ya siku nzima kutoka mawio hadi machweo. Nataka kujifunza kitu.
Pia kama mstaafu ni wewe mwenyewe sio mbaya ukashare pia.
Sharing is caring.
Sawa mkuu & asante kufatilia uziHizo ni sensitive details za mtu. such kind of info si vema kuwekwa mtandaoni