Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Mtu anaesema mkikamata jambazi pigeni na mtu anaewataka watu wandamane kwa amani kupinga jambo fulani,ni nani kati ya hawa wawili anastahili kuitwa mchochezi?
Mpinzani akitoa kauli kwa wafuasi wake wapige mwizi badala ya kumpeleka Polisi, hatakamatwa kwa kosa la uchochezi?
Maandamano yanayotambulika kikatiba,kisheria utayathibitisha vipi kuwa ni vitendo vya uchochezi?
Tunaposema Katiba ndio sheria mama,huwa tunamanisha nini hasa?
Mpinzani akitoa kauli kwa wafuasi wake wapige mwizi badala ya kumpeleka Polisi, hatakamatwa kwa kosa la uchochezi?
Maandamano yanayotambulika kikatiba,kisheria utayathibitisha vipi kuwa ni vitendo vya uchochezi?
Tunaposema Katiba ndio sheria mama,huwa tunamanisha nini hasa?