Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Linganisha zawadi ya jezi na sanduku ambalo laweza kutunza madini yetu huko Canada. Zawadi ni zawadi ingawa hili la kutoa sanduku la Zanzibar badala ya zawadi inayohusiana na muungano linatia shaka. Je hii yaweza kutafsiriwa kama kuitangaza Zanzibar au kuiuza? Je Tanzania inahitaji kujigonga kwa wazungu kuishi au kutumia akili za kawaida common sense? Je kutoa zawadi ya Zanzibar ni kuitendea haki Zanzibar na kuuhujumu muungano au kutaka kuwaziba mdomo wanzanzibari wanaotaka kujitenga kwa kuhujumu muungano au kutapatapa? Nini maoni yako?