wewe ni great thinker ungeweka tittle ingine manake this tiitle inaweza kukudhalilisha. UNGEWAULIZA WATU WA BARIADI (chenge) na Igunga (rostam) kuwa akili zao vipi? UNGEWACONSULT WAROMBO waliomfuta kazi MRAMBA wawaelimishe baadhi ya vichwa ngumu.
Nahisi utakuwahuelewi hata maana ya mbunge, majukumu yake ni nini, na anapaswa kufanya nini? Natamani nikupe darasa kidogo lakini nahisi wewe sio mjanja maana ungekuwa mjanja ungeenda hata ku google hilo swali lako
mbunge kama mwakilishi wa wananvhi serikalini ndiye mwenye mamlaka ya kupeleka kero za wananchi kwa watawala hasa kwenye suala la maendeleo..wananchi kumlalamikia ni haki kabisa kwani ndiye mwenye jukumu la kuwawakilisha na kuwabana watawala watekeleze majukumu yao
Na kama baada ya kuwabana watawala bado hawatekelezi majukumu yao, mbunge anapaswa afanye nini? Atafute funds na kutatua kero badala ya serikali?
lazima arudishe ripoti kwa waliomtuma(wananchi)Na kama baada ya kuwabana watawala bado hawatekelezi majukumu yao, mbunge anapaswa afanye nini? Atafute funds na kutatua kero badala ya serikali?